HAYA SASA


Ushajifunza kiswahili ndugu whatsap?
 
Baada ya kusema hayo haya nambie sasa... nini kilijirishwa na huyu mwanamtokapabaya?
Alikuwa anajifanya ameishi USA akawa anaandika broken hatari halafu anajifanya hajui kiswahili......eeeh watu si wakaanza kufukua makaburi yake bhana heheheheheheeeeeee.......

Sasa ebu niambie babu kuna mmarekani hapa kwa kuangalia anavoandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…