Haya semeni haraka nije na Info ya huko Mwanza sasa au Niichunie tu ili Amani itawale na Wasivurugane?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Haya Wazee wa Kukopi Taarifa zangu GENTAMYCINE hapa Jamvini JamiiForums akina Ricardo Momo na Edo Kumwembe bila kuusahau Mtandao wa WhatsApp wa hiyo Timu na Wengineo si huwa mnajifanya mna Taarifa? Sasa mbona hii Mbichi kabisa ambayo GENTAMYCINE The King ninayo peke yangu nyie hamna na bado hamjatoka nayo katika Mitandao na Media zenu?

Kudadadeki.......!!

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!

Nauliza tena niilete hapa au niuchune?
 
we sema utakacho sisi wala hatuyazingatii hayo usemayo
 
Sema usiogope sema
 
Ndugu zangu nawakumbusha tu, ule mchango wanauli kwa ajili ya safari ya ndugu yetu kwenda Lutindi Tanga kwa ajili ya matibabu yake, bado unaendelea. Tujitahidi kutoa kwa wakati ili awahi kuondoka.
 
Kiazi mbatata on the one and two
 
Ndugu zangu nawakumbusha tu, ule mchango wanauli kwa ajili ya safari ya ndugu yetu kwenda Lutindi Tanga kwa ajili ya matibabu yake, bado unaendelea. Tujitahidi kutoa kwa wakati ili awahi kuondoka.
Nipe lipa namba nitume sadaka yangu maana Hali si Hali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nipe lipa namba nitume sadaka yangu maana Hali si Hali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ubarikiwe sana mkuu 🙏

Tuma kwenye namba hii ya lipa 959802 kwenye ule mtandao wetu wa makabwela kama sisi. Jina litatokea Popoma Mbobevu. Ka mnavyo ona wenyewe. Kijana anahitaji matibabu ya haraka.
 
Charistimatic Fella.
 
Mwamba[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ndugu zangu nawakumbusha tu, ule mchango wanauli kwa ajili ya safari ya ndugu yetu kwenda Lutindi Tanga kwa ajili ya matibabu yake, bado unaendelea. Tujitahidi kutoa kwa wakati ili awahi kuondoka.
Sawa mkuu.Nitatuma kesho
 
Bado husema,na utasema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…