Haya sio maksudi mazima wadada kututega ?

Haya sio maksudi mazima wadada kututega ?

Judgement

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2011
Posts
10,326
Reaction score
4,785
Naomba Jf membars nitangulize excuse kwa ninalolisemea kwani huenda lilishaletwa hapa kitambo likajadiliwa wakati mimi sijawa membar Jf, mnivumilie kwa hilo. Muda huu naifanza hii thread niko fukweni mwa Lake Victoria, nimekaa juu ya mawe, aidha mbele kwangu kuna binadamu wa rika tofautitofauti. Wengine wanaogelea, kuna wenye kuvua kwa kutupa ndoano na wengine wanazungukazunguka.


Katika eneo hili kuna mdada (aliesababisha thread hii ije hewani) Mdada amevaa suruali ya jeans iliotoa roadmap yote ya mwili ! Inshort watu Jf almost wote mnaishi mijini na mapigo style hizi mnayajua. Aidha mdada huyu anamiliki figure 8 kama wengi walivyo. Kwa vyovyote vile kwa mwanaume RIJALI akikupitia mdada alievaa kihivi utamwangalia mara mbilimbili na kukuondolea utulivu wa akili, kama una gazeti mkonono, unaandika msg cosentration ina athirika. Nawauliza wadada wenye kuvaa hivi hapa Jf (najua hawakosi) hii sio traps mnatutega ? Kwani msipo display map za miili yenu hatutawahitaji ? Na watakao niambia ni tamaa sitowaelewa! Itakua unafiki tu! Nafsi ni mgeni kila uchao.
 
utagegwa na wangapi? Na ndo fashion za vijana? Wewe shinda tamaa yako!
 
Kijana, tatizo hapo si mvaaji, bali wewe mwangaliaji. na inaelekea haujui umefuata nini huko ulikoenda kiasi kwamba akili zako zinachotwa na hilo jinzi. Kama hiyo jinzi inakupagawisha namna hiyo, je ukienda kwenye beach ambako wanavaa bikini ndugu yangu si upatawa na mshituko wa moyo kabisa
 
hayo ni matatizo ya shibe...
wewe umekula umeshiba sasa ndo unapata matatizo na wadada na wanavyo vaa
uliza ambae kula yake ya shida akwambie.....

ndo maana watu wa dini wanashauri watu wafunge.....

shibe inakusumbua....

subiri siku uko juu ya mawe uone kama kuna dada atakae kuvutia
 
hayo ni matatizo ya shibe...
wewe umekula umeshiba sasa ndo unapata matatizo na wadada na wanavyo vaa
uliza ambae kula yake ya shida akwambie.....

ndo maana watu wa dini wanashauri watu wafunge.....

shibe inakusumbua....

subiri siku uko juu ya mawe uone kama kuna dada atakae kuvutia

Haaaaaaaaa kweli ukiwa na njaa hauwazi hiyo kitu kabisa lkn ukishiba we dushelele lazima liinuke
 
Wadau hoja zenu nitazijibu 1 baada ya nyingine rite now nina kakio kasikokua rasmi na mdau mwenza wa Jf tumegongana ghafla around this site.
 
utagegwa na wangapi? Na ndo fashion za vijana? Wewe shinda tamaa yako!

BT Nilitegemea kupata jibu kama lako hata hivyo ifanyie Nafsi upembuzi yakinifu inavyokua mgeni wa mambo.
 
Kijana, tatizo hapo si mvaaji, bali wewe mwangaliaji. na inaelekea haujui umefuata nini huko ulikoenda kiasi kwamba akili zako zinachotwa na hilo jinzi. Kama hiyo jinzi inakupagawisha namna hiyo, je ukienda kwenye beach ambako wanavaa bikini ndugu yangu si upatawa na mshituko wa moyo kabisa

Na ndiyo mana siendagi maeneo hayo mara kwa mara ni skukuu hadi skukuu.
 
Naomba Jf membars nitangulize excuse kwa ninalolisemea kwani huenda lilishaletwa hapa kitambo likajadiliwa wakati mimi sijawa membar Jf, mnivumilie kwa hilo. Muda huu naifanza hii thread niko fukweni mwa Lake Victoria, nimekaa juu ya mawe, aidha mbele kwangu kuna binadamu wa rika tofautitofauti. Wengine wanaogelea, kuna wenye kuvua kwa kutupa ndoano na wengine wanazungukazunguka.


Katika eneo hili kuna mdada (aliesababisha thread hii ije hewani) Mdada amevaa suruali ya jeans iliotoa roadmap yote ya mwili ! Inshort watu Jf almost wote mnaishi mijini na mapigo style hizi mnayajua. Aidha mdada huyu anamiliki figure 8 kama wengi walivyo. Kwa vyovyote vile kwa mwanaume RIJALI akikupitia mdada alievaa kihivi utamwangalia mara mbilimbili na kukuondolea utulivu wa akili, kama una gazeti mkonono, unaandika msg cosentration ina athirika. Nawauliza wadada wenye kuvaa hivi hapa Jf (najua hawakosi) hii sio traps mnatutega ? Kwani msipo display map za miili yenu hatutawahitaji ? Na watakao niambia ni tamaa sitowaelewa! Itakua unafiki tu! Nafsi ni mgeni kila uchao.

ukiibuka na michomo dizaini hii next time jaribu na kututupia ma'snap-shots hayo jamvini hapa ili twende sawa, acha kubana muzee mukubwa!
 
Back
Top Bottom