Dunda kwetu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 265
- 37
si umeshaubaini huo mtego utegue uende na zako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyie ndiyo wauwaji wetu! Kama si wewe basi Shosti wako, au Shost wa Shost !
BT Nilitegemea kupata jibu kama lako hata hivyo ifanyie Nafsi upembuzi yakinifu inavyokua mgeni wa mambo.
biahara matangazo, kuna style nyingi tu siku hizi lakini cyo zote ambazo zinaonyesha mwili anayejiheshim awezi kuvaa nguo ambayo inamuonyesha maumbile kihivyo.Naomba Jf membars nitangulize excuse kwa ninalolisemea kwani huenda lilishaletwa hapa kitambo likajadiliwa wakati mimi sijawa membar Jf, mnivumilie kwa hilo. Muda huu naifanza hii thread niko fukweni mwa Lake Victoria, nimekaa juu ya mawe, aidha mbele kwangu kuna binadamu wa rika tofautitofauti. Wengine wanaogelea, kuna wenye kuvua kwa kutupa ndoano na wengine wanazungukazunguka.
Katika eneo hili kuna mdada (aliesababisha thread hii ije hewani) Mdada amevaa suruali ya jeans iliotoa roadmap yote ya mwili ! Inshort watu Jf almost wote mnaishi mijini na mapigo style hizi mnayajua. Aidha mdada huyu anamiliki figure 8 kama wengi walivyo. Kwa vyovyote vile kwa mwanaume RIJALI akikupitia mdada alievaa kihivi utamwangalia mara mbilimbili na kukuondolea utulivu wa akili, kama una gazeti mkonono, unaandika msg cosentration ina athirika. Nawauliza wadada wenye kuvaa hivi hapa Jf (najua hawakosi) hii sio traps mnatutega ? Kwani msipo display map za miili yenu hatutawahitaji ? Na watakao niambia ni tamaa sitowaelewa! Itakua unafiki tu! Nafsi ni mgeni kila uchao.
Pole hiyo jins tu umepagawa,ukiona kitu cha skin tite utafanyaje?
Mchukulie km dada yako wala haitakusumbua!
Kwa hilo mtajidanganya originality WABEBAJI ni nyie!
Pole hiyo jins tu umepagawa,ukiona kitu cha skin tite utafanyaje?
Mchukulie km dada yako wala haitakusumbua!
heri ya mwaka mpya. Umeadimika sist.
We mwenyewe hapo ndo tayari ushajibeba kwa kuliweka kwa head na kufikiria tofauti wakati mwenzio ndo kwanza wala hana habari!!