Haya Sio Mapenzi Ya Kiafrika

Haya Sio Mapenzi Ya Kiafrika

Hizi post zinaishushia hadhi jf inaonekana ni sehemu ya wahuni na watu wasiojua. Ingekuwa vizuri tujadili mustakbali wa nchi yetu haya mambo ya mapenzi tuwaachie kina ngoswe.

Mustakabali wa taifa unategemea mambo madogomadogo mengi, likiwemo hili la mapenzi na mahusiano..ndo maana wenye uoni waasisi wa jf waliliona hili mapema..usikonde lakini kwa ku-lag behind of the obvious.
 
when a person starting judging by criticizing is an ignorant:

EVERY PERSON HAS HIS OWN PERCEPTION ON LOVE, the beuty of love ask romeo and juliet, in real life there is no such a ting as real love
 
Baba Juice bana usi complicate sana mambo utaumia mwenyewe
 
Back
Top Bottom