Uchaguzi 2020 Haya TAKUKURU nendeni Iringa mkazione bajaji walizopewa vijana wa Iringa ili wamng'oe Msigwa!

Uchaguzi 2020 Haya TAKUKURU nendeni Iringa mkazione bajaji walizopewa vijana wa Iringa ili wamng'oe Msigwa!

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Hii ni wazi CCM kupitia Polepole wamegawa Bajaji kwa vijana wa mjini Iringa, Takukuru ni jukumu lenu kuangalia kama kuna uhusiano wa bajaji, Msigwa na uchaguzi.
Bajaji hizi si za kuzitafuta kwani zinarangi ya kijani na njano.
 
Hivi ilikuaje mpaka wakazuia Kule kwa Mr kigwa?

Sababu kule kwao kigwa amezoea kuhonga vitu vya bei rahisi kama vile maandazi/vitumbua kama alivyofanya 2015,sasa wameshtuka inakuaje leo ahonge kitu cha kitajiri vile baiskeli/Avon.
 
Acheni wivu na nyie si mgawe au kazi yenu kula michango ya wabunge na ruzuku ya chama [emoji23][emoji23]
Michango ya wanafunzi waliofariki Arusha mbona hosipitali tuliyoambiwa itajengwa haionekani na mshikaji ndiyo huyo kaenda na maji.
 
Hii ni wazi CCM kupitia Polepole wamegawa Bajaji kwa vijana wa mjini Iringa, Takukuru ni jukumu lenu kuangalia kama kuna uhusiano wa bajaji, Msigwa na uchaguzi.
Bajaji hizi si za kuzitafuta kwani zinarangi ya kijani na njano.

Kama ni kweli, basi hao TAKUKURU watakuwa walisha tonywa na boss wao kuwa kunakitu kama hicho na hawatakuwa na uwezo wa kufuatilia jambo hilo.
 
Back
Top Bottom