Uchaguzi 2020 Haya TAKUKURU nendeni Iringa mkazione bajaji walizopewa vijana wa Iringa ili wamng'oe Msigwa!

Uchaguzi 2020 Haya TAKUKURU nendeni Iringa mkazione bajaji walizopewa vijana wa Iringa ili wamng'oe Msigwa!

Takukuru tawi la ccm
Hii ni wazi CCM kupitia Polepole wamegawa Bajaji kwa vijana wa mjini Iringa, Takukuru ni jukumu lenu kuangalia kama kuna uhusiano wa bajaji, Msigwa na uchaguzi.
Bajaji hizi si za kuzitafuta kwani zinarangi ya kijani na njano.
 
Acheni wivu na nyie si mgawe au kazi yenu kula michango ya wabunge na ruzuku ya chama [emoji23][emoji23]
Chadema gaweni pikipiki na Bajaj wilayani na walipieni Kodi ofisi za chadema mikoa na wilaya msizile pesa zote makao makuu
 
Mkuu ebu tupia basi angalau kapicha tupate ushahidi
Hii ni wazi CCM kupitia Polepole wamegawa Bajaji kwa vijana wa mjini Iringa, Takukuru ni jukumu lenu kuangalia kama kuna uhusiano wa bajaji, Msigwa na uchaguzi.
Bajaji hizi si za kuzitafuta kwani zinarangi ya kijani na njano.
 
Tangu walipo shindwa kuutumia ushahidi wa Nasari na Lema dhidi ya mipango ya kuwanunua madiwani pale Arusha nilikosa imani nao
Hiyo taasisi iko kutumikia siasa chafu, wala usitegemee wachukue hatua yoyote dhidi ya ccm.
 
TAKUKURU NI CHAKA LA RUSHWA MKUU....WANATAFUTA VIDAGAA TUU
 
Msigwa si anagombea uraisi? kwa hiyo anataka vyote kugombea uraisi na ubunge kwa mpigo? Chadema mna vituko.Nafasi zingine si muachie wengine
 
Msigwa si anagombea uraisi? kwa hiyo anataka vyote kugombea uraisi na ubunge kwa mpigo? Chadema mna vituko.Nafasi zingine si muachie wengine
Tatizo lako siasa hauijui bali umedandia tu, vyama vyote huanza na urais kisha baada ya mchujo waliokosa hujitosa kwenye ubunge, hivyo ndivyo ilivyo.
Acha kutupotezea wakati.
 
Hii ni wazi CCM kupitia Polepole wamegawa Bajaji kwa vijana wa mjini Iringa, Takukuru ni jukumu lenu kuangalia kama kuna uhusiano wa bajaji, Msigwa na uchaguzi.
Bajaji hizi si za kuzitafuta kwani zinarangi ya kijani na njano.
Ni kweli,zingine zipo pale Manispaa kwaajili ya kupewa vijana.Lakini tambua Takukuru haipo kwaajili ya kazi hiyo,kazi yao ni kukusanya Pesa kama TRA
 
Mwigulu alichukua form ya kugombea urais lkn leo hii ni mbunge, hivi nyinyi mazuzu wa lumumba kwanini mnakosa kutumia akili angalau mliyo zaliwa nayo?
Msigwa si anagombea uraisi? kwa hiyo anataka vyote kugombea uraisi na ubunge kwa mpigo? Chadema mna vituko.Nafasi zingine si muachie wengine
 
Back
Top Bottom