Say tuned habari kamili ziko jikoniTusisahau kulisemea la ndege ya Rais iliyoshikiliwa Dubai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Say tuned habari kamili ziko jikoniTusisahau kulisemea la ndege ya Rais iliyoshikiliwa Dubai
Naunga mkono hojaHumu JF kuna makundi matatu kuhusu mkataba wa DPW, na yapo kama ifuatavyo;
1. Wanaunga mkono mtaba wa DPW kama uliovyo sasa
2. Wanaopinga mkataba huo
3. Wapo wa I dont care
Sasa, ili kuweka mzani sawa, kila kundi litoe tamko lake, halafu makundi mengine yaweke hoja mezani kwanini wanapinga hoja za makundi mengine..!!
Hii itakuwa tofauti na ilivyo mtaani kwa sasa, wanaopinga wameweka hoja kwa vipengele vibaya vilivyopo kwenye mkataba, LAKINI WANAUONGA MKONO WAO HAWAJADILI VIPENGELE VYA MKATABA, ILA WANANGÁNGÁNA TU KUSEMA WANAOPINGA WANAFANYA HIVYO KWA SABABU RAIS NI MWANAMKE, KWA SABABU RAIS NI MZANZIBARI, KWA SABABU RAIS NI MUISLAMU. ETC.. Binafsi nawaona hawana hoja ila wanajaribu kupindisha mjadala, utoke kwenye kujadili vipengele vyake na uingie kwa kujadili dini za watu, watu hao wanatoka wapi kati ya bara na visiwani na watu hao wana jinsia gani.
Tena huyu mzee inabidi aseme ges yetu iko wapi?Mimi nasimama na msimamo wa mababa, hawa wanasiasa hawana dhamiri safi, eti jana mzee mmoja anajidai kuongeaongea wakati yeye ndiye anayetusumbua
Wakichaguliwa chawa wa mama wakaleta tamko kwa niaba yako na wanajf utaliunga mkono??
Hakika.Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
What a Golden advice. Naomba Uongozi wa JamiiForums utusaidie kwa hili hasa kwa kufuata haya Maelekezo yako ya Upigaji Kura Wetu kama JamiiForums Members.Iwekwe poll tupige kura
1. mkataba ufutiliwe mbali
2. Mkataba urekebishwe
3. Mkataba uachwe kama ulivyo
Tamko la JF members liko kwenye 'signature collection petition' fuatilia mpaka mchana huu wanaokubali mktaba ni asilimia 16% wakati wanaokataa mkataba ni asimilia 83% huku asilimia 1% hawaeleweki wako wapi!!!Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Sasa ole wenu Tamko lenu lije tofauti na nilivyoanza Mimi mtajua kwanini Wimbo wa Taifa huwa hauna Kolabo na Nyoka hana Ugoko ( I'm Kidding guys )
Tafadhali naomba Wachaguliwe Members kadhaa na kwa Niaba yetu waje na Tamko la Jumla la wana JamiiForums wote juu ya Sakata zima la Kukataa Ubinafsishwaji wa Bandari yetu kwa DP World.
Nikija ( Log In ) hapa baadae Saa 4 na Nusu Asubuhi naomba nilikute hilo Tamko letu sawa?
katika hilo jopo Faizafox asikosekane.,Tafadhali naomba Wachaguliwe Members kadhaa na kwa Niaba yetu waje na Tamko la Jumla la wana JamiiForums wote juu ya Sakata zima la Kukataa Ubinafsishwaji wa Bandari yetu kwa DP World.
Nikija ( Log In ) hapa baadae Saa 4 na Nusu Asubuhi naomba nilikute hilo Tamko letu sawa?