Haya TEC wameshakuja na Tamko leo Jema, je, na Sisi wana JamiiForums Tamko letu litatoka Saa ngapi?

Naunga mkono hoja
 
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, mimi ni mtoto wa Mungu naishi kwa kufuata sauti ya mungu. tamko lisiende mbali, Kibaraza cha urisi hakipangishwi nasisi tunashida ya kukitumia kujikwamua kiuchumi kwanza kipo barabarani lazima tukitumie kujiajiri sisi kabla ya wageni kujiajiri kupitia kibaraza chetu.
 
Tunataka dp world waje hii nchi sio ya wakatoliki,wakatoliki hawana uwezo wa kutuamulia watanzania milioni 60 hii nchi tupo mabudha na wasio na dini pia tunaitaka dp world na tunaimani na serikali yetu inayoongozwa na rais samia muislam,dr mpango mkatoliki,pm majaliwa muislam na tulia akson mkatoliki.
 
Iwekwe poll tupige kura

1. mkataba ufutiliwe mbali
2. Mkataba urekebishwe
3. Mkataba uachwe kama ulivyo
What a Golden advice. Naomba Uongozi wa JamiiForums utusaidie kwa hili hasa kwa kufuata haya Maelekezo yako ya Upigaji Kura Wetu kama JamiiForums Members.

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo
 
Tamko la JF members liko kwenye 'signature collection petition' fuatilia mpaka mchana huu wanaokubali mktaba ni asilimia 16% wakati wanaokataa mkataba ni asimilia 83% huku asilimia 1% hawaeleweki wako wapi!!!
 
katika hilo jopo Faizafox asikosekane.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…