Haya Tumalize Ubishi Tazama Kichupa Alichoachia Rosa Ree Leo, Chemical Tunamweka Wapi?

Haya Tumalize Ubishi Tazama Kichupa Alichoachia Rosa Ree Leo, Chemical Tunamweka Wapi?

Rosa Ree anazidi Chemical mbali sana labda anachozidiwa Rosa Ree kutoka kwa Chemical ni Mashavu tu.
 
Sijawahi kumuelewa Rosa lee Anachoimbaga na hicho kiingereza si kiingereza cha kenya hapo..
 
mnamfananisha chemical na ujinga huo kuwen serious some time
 
Personally naona promo, kingereza na fu-ck* fu-ck* nyingi na swaga na videos kali pamoja na management ndiyo vinambeba rosa lee.
Wakipewa platform sawa chemical si way better than lee kuanzia style yake ya kuflow mpaka uandishi
Huyo Rosa Lee Promo nyiiingi wakati hakuna kitu zaidi ya kutamka tamka tu maneno ya kiingereza na KUTUKANA MITUSI
 
Chemical muacheni peke yake tu.. Bi'mdada namuelewa sana.
Rosa anawatisha na vipini vya ulimi kama mamtoni lkn wa kawaida sana.
 
Acheni kumfananisha Chemical na mambo ya kipumbavu.Huyo Rosa Ree anawatisha kujifanya mmarekani.
 
Rosa Ree hakupaswa kuishi Tanzania/Africa. Tunaishi nae basi tu, Yule manzi ni level za kina YOUNG MA, LIL KIM and the like. Chemical Msichana mwenye rap ya Kiafrika zaidi.
 
Back
Top Bottom