GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Baada ya Kuwaudhi Mashabiki katika Mashamba ya Mpunga na kuachwa rasmi Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na Mabingwa wa NBC Premier League kwa Msimu wa 2023/2024 ili Kurejesha Imani yao Kwetu Kigamboni Wavuvi FC tumeamua Kumalizana (Kuwahonga ) tutakakutana nao Keshokutwa Jumamosi ili siyo tu tuwafunge bali tuwafunge Goli nyingi kuanzia 4 hadi 6 ili nchi itulie.
Na Mzigo amepewa aliyekuwa Mchezaji wetu wa zamani wa Simba SC na hata Wao pia ( aishiye Mbezi Kimara Jirani na Makazi ya akina Haruna Moshi, Danny Mrwanda na Mwanamuziki Mtangazaji Jose Mara ) ili autembeze na Wachezaji Maswahiba wa Timu husika ili Walegeze ( wacheze chini ya Kiwango ) huku akishirikiana na Mlopolopo wao ( Kihabari na Mawasiliano ) ambaye ni mwana Kigamboni Wavuvi FC lia lia na zamani alikuwa akifanya Kazi katika Media ya Marehemu Mchagga Tajiri aliyeacha Ugomvi wa Kisheria wa Mjane wake na Wanawe wakubwa Wawili juu ya Urithi wa Mali za Marehemu Baba yao na Mama yao aliyetangulia kabla ya Baba yao.
Na Mzigo amepewa aliyekuwa Mchezaji wetu wa zamani wa Simba SC na hata Wao pia ( aishiye Mbezi Kimara Jirani na Makazi ya akina Haruna Moshi, Danny Mrwanda na Mwanamuziki Mtangazaji Jose Mara ) ili autembeze na Wachezaji Maswahiba wa Timu husika ili Walegeze ( wacheze chini ya Kiwango ) huku akishirikiana na Mlopolopo wao ( Kihabari na Mawasiliano ) ambaye ni mwana Kigamboni Wavuvi FC lia lia na zamani alikuwa akifanya Kazi katika Media ya Marehemu Mchagga Tajiri aliyeacha Ugomvi wa Kisheria wa Mjane wake na Wanawe wakubwa Wawili juu ya Urithi wa Mali za Marehemu Baba yao na Mama yao aliyetangulia kabla ya Baba yao.