Tonydigital
Senior Member
- Oct 6, 2014
- 186
- 245
Kuna Emery Mbonda wa Extra musica, kwenye ile album ya Etat Major kafanya makubwa sana.
Dah kundi hili lilikuwa bora kabsa! Huwa natamani wangekaa pamoja kwa muda mrefu zaidi baada ya kufika kwenye peak yao.