Jambo la kizalendo sana hiliNatafuta vijana wangu tuanzishe platform moja Na wadau Wa nje huko tuwapige mana naona watu Wa nje wanapiga pesa wanapeleka kwao Bora sisi tutawekeza kwetu hapa hapa Na tutatoa ajira za kutosha baada ya kutengeneza tilion kadhaa
Na wewe pia upo close za hizo kitu maana washikaji zako wamelizwaItakua na ww upo close na hzo platforms, mi kuskia hicho kitu ni baada ya watu kulizwa nlianza kuona status za wadau wangu kuulizwa ndo nkaambiwa
Kalynda ya juzi hiyo, tangu 2007 wanapigwa na kina DECI na mingine kibao ikafuata.WaTz ni wagumu kujifunza walipigwa na Kalynda pote hapo hakuna aliejifunza!!! Hizi Investment Platform ni za kitapeli, sijui mtu anatoa wapi ujasiri wa kujiunga na mtandao wa namna hii
Nimesikia kama wewe ulivyosikia ila ukikaa na watu before watu hawajapigwa na tukio watu wanawasifia hasaa kumbe yalikuwa yanakuja ni makubwa zaidi[emoji2]Itakua na ww upo close na hzo platforms, mi kuskia hicho kitu ni baada ya watu kulizwa nlianza kuona status za wadau wangu kuulizwa ndo nkaambiwa
Hawa wajinga wanakuja bila pesa yeyote pesa mnazo weka ndio wanazotumia Na kisha kuwaliza Na kutembea njia rahisi ni kuandikisha taasis tu baada ya hapo ni kucheza Na akili tu ngoja tuwaache kwanza kisha wazalendo tujeJambo la kizalendo sana hili
Wao wanafanya forex ko wanakua na update nyingi za hizo platformNa wewe pia upo close za hizo kitu maana washikaji zako wamelizwa
Upo sahihi mkuu kabisa aisee ujinga ndo unasumbuaKalynda ya juzi hiyo, tangu 2007 wanapigwa na kina DECI na mingine kibao ikafuata.
Hata ukija mwingine watapigwa. Kwanini? Sababu mwafrika hasa mtanzania bado anasumbuliwa na UJINGA!
Sent using Jamii Forums mobile app