Haya wale wa no E navuta ndinga, endeleeni kushangaa

Haya wale wa no E navuta ndinga, endeleeni kushangaa

ankai

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2017
Posts
3,282
Reaction score
4,251
Mzigo tayari hii ni ni 22/08/2022 mzigo tayari uko mtaani kazi ni juu yako wewe mwenzangu na mimi wale wa no c uzen magari yenu mapema maana yanaenda kushuka thamani kwa kiwango cha ajabu

Haya wale wa kuvuta mchuma December kazi kwenu

Mzigo huu hqpa


Screenshot_20220822-161715_Instagram.jpg
Screenshot_20220822-161707_Instagram.jpg
 
Aliyesema watu wananunua number plates ni nani mkuu mbona povuuu chief shida iko wapi ndugu
Aliyesema watu wananunua number plates ni nani mkuu mbona povuuu chief shida iko wapi ndugu
Siku utayotaka kuuza gari yako ukafika kwa madalali watakavyoiua hio gari kisa ni DYZ hutaamini😁😁😁
 
Back
Top Bottom