Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
B malizia tu hio gari haina jinsiSasa sisi wazee wa B hali si ndio itakua mbaya sana 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
B malizia tu hio gari haina jinsiSasa sisi wazee wa B hali si ndio itakua mbaya sana 😂
Mimi ZMie nasubiria namba F
Utaendesha heaven ukoMimi Z
Aaaah mi nna DC yangu apa basi naona tabu tupu mzee wangu
HahaMie nasubiria namba F
Kwamba makapuku wasio na magari huwa wanahaika na plate no Ila wenye magari wametulia tuli.Nmeshangaa mfanyakazi wangu nae kaweka status hizo plate no huku akisema mambo ni fire.Hii dunia Ni ngumu.Useme nini mkuu
Watu wana AAA bado wanang'oa pisi kaliSasa sisi wazee wa B hali si ndio itakua mbaya sana [emoji23]
Kwamba unitwa Erick auIkifika ERC mniambie ninunue
Aaaaaaah aaaaah kwani wee ni muhenga mzee wangu??Kwamba makapuku wasio na magari huwa wanahaika na plate no Ila wenye magari wametulia tuli.Nmeshangaa mfanyakazi wangu nae kaweka status hizo plate no huku akisema mambo ni fire.Hii dunia Ni ngumu.
Tutaipeleka tandale pale 😀B malizia tu hio gari haina jinsi
nasubiri niweke jina languB malizia tu hio gari haina jinsi