Tulia na DS yako hio ๐๐๐Apana D bado iko on fire ile mbaya mkuu sema daah design no E imewahi sana aisee
Wazee wa D wamepaniki na chuma yng hapa DE ngoja nisikilizoe upepo kwanza....Tulia na DS yako hio [emoji3][emoji3][emoji3]
Subiri ikifika EAF ukasajili, namba tamu sanaWazee wa D wamepaniki na chuma yng hapa DE ngoja nisikilizoe upepo kwanza....
Naona EAA ipo 300+
Sio EAC ๐Subiri ikifika EAF ukasajili, namba tamu sana
East African CommunitySio EAC ๐
Aliyesema watu wananunua number plates ni nani mkuu mbona povuuu chief shida iko wapi ndugu
Siku utayotaka kuuza gari yako ukafika kwa madalali watakavyoiua hio gari kisa ni DYZ hutaamini๐๐๐Aliyesema watu wananunua number plates ni nani mkuu mbona povuuu chief shida iko wapi ndugu
Ushamba mzigo.Bado mnanunuaga number plates.
Sasa sisi wazee wa B hali si ndio itakua mbaya sana ๐Siku utayotaka kuuza gari yako ukafika kwa madalali watakavyoiua hio gari kisa ni DYZ hutaamini๐๐๐