GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Zifuatazo ni faida chache walizonazo Wagonjwa wote wa Pumu ( Asthma ) duniani
1. Wengi wao huwa ni Werevu sana
2. Wataugua Magonjwa yote ila kamwe hawatapa UKIMWI ( Dally Kimoko )
3. 99% huwa au huja kuwa Matajiri sana kwani Kiasili huu ni Ugonjwa wa Kitajiri na Matajiri
4. Katika Mapenzi Kitandani huwajibika zaidi na Kiuweledi hadi Kupendwa huku Pumu ikikaa pembeni kwa muda
5. Kinga yao ya Mwili huwa ni ya juu sana na ndiyo maana Wengi wao huwaoni Wakiugua mara kwa mara
6. Wana nyota ya kuja kuwa Viongozi / Watawala
7. Wana nyota Kali dhidi ya Wachawi na Maadui halafu wana Bahati na hupendwa sana na Mwenyezi Mungju
Tabia zao mbaya ambazo mnatakiwa mzivumilie tu popote mnapokuwa nao kwani hakuna namna
1. Wapenda Ngono (Wahuni) wakubwa iwe Kubandua au Kubanduliwa
2. Wabishi hata Mashabiki wa Yanga SC na Manchester United FC wanasubiri
3. Wakali na wana Hasira za Karibu japo huwa ni wepesi Kupoa, Kusamahe na Kusonga mbele
4. Wana Wivu mkubwa katika Mahusiano yao japo Wao ndiyo Vnara wa Uhuni ( Kupenda Ngono )
5. Wana Akili nyingi hadi muda mwingine zinawakwaza walionao karibu na kuanza Kuchukiwa nao
6. Hawana Uvumilivu na wakilitaka lao basi lazima liwe nje ya hapo watakulaumu hadi Kiama Kitakapokuja
7. Wavivu wa Kupika na hawapendi Kupika na 85% hawajui pia Kupika kwakuwa wameumbwa Kutumikiwa
Na katika huu Uzi wangu siwataki kabisa hawa Marafiki zangu wakubwa hapa JamiiForums akina adriz, Bujibuji Simba Nyamaume, Dr Matola PhD na Mtani wangu Mshamba wa Kihaya Arovera waje Kuchangia kwani nawajua kuwa watanipinga mwanzo mwisho kwa hiki nilichokileta hapa.
Nimalize kwa kutoa Pole zangu nyingi na za Kipekee kabisa kwa Watanzania wote waliopatwa na madhira ya Kimbunga Hidaya hasa kule Kisiwani Mafia na Mkoani Lindi na maeneo mengine. Mwenyezi Mungu awapeni Uwepesi, Rehema na Uimara ili mrejee katika Maisha yenu ya kawaida na mpate Misaada mbalimbali. Pia Roho za wale Wote waliofariki dunia namwomba Mwenyezi Mungu aziweke mahala pema peponi Ameni.
1. Wengi wao huwa ni Werevu sana
2. Wataugua Magonjwa yote ila kamwe hawatapa UKIMWI ( Dally Kimoko )
3. 99% huwa au huja kuwa Matajiri sana kwani Kiasili huu ni Ugonjwa wa Kitajiri na Matajiri
4. Katika Mapenzi Kitandani huwajibika zaidi na Kiuweledi hadi Kupendwa huku Pumu ikikaa pembeni kwa muda
5. Kinga yao ya Mwili huwa ni ya juu sana na ndiyo maana Wengi wao huwaoni Wakiugua mara kwa mara
6. Wana nyota ya kuja kuwa Viongozi / Watawala
7. Wana nyota Kali dhidi ya Wachawi na Maadui halafu wana Bahati na hupendwa sana na Mwenyezi Mungju
Tabia zao mbaya ambazo mnatakiwa mzivumilie tu popote mnapokuwa nao kwani hakuna namna
1. Wapenda Ngono (Wahuni) wakubwa iwe Kubandua au Kubanduliwa
2. Wabishi hata Mashabiki wa Yanga SC na Manchester United FC wanasubiri
3. Wakali na wana Hasira za Karibu japo huwa ni wepesi Kupoa, Kusamahe na Kusonga mbele
4. Wana Wivu mkubwa katika Mahusiano yao japo Wao ndiyo Vnara wa Uhuni ( Kupenda Ngono )
5. Wana Akili nyingi hadi muda mwingine zinawakwaza walionao karibu na kuanza Kuchukiwa nao
6. Hawana Uvumilivu na wakilitaka lao basi lazima liwe nje ya hapo watakulaumu hadi Kiama Kitakapokuja
7. Wavivu wa Kupika na hawapendi Kupika na 85% hawajui pia Kupika kwakuwa wameumbwa Kutumikiwa
Na katika huu Uzi wangu siwataki kabisa hawa Marafiki zangu wakubwa hapa JamiiForums akina adriz, Bujibuji Simba Nyamaume, Dr Matola PhD na Mtani wangu Mshamba wa Kihaya Arovera waje Kuchangia kwani nawajua kuwa watanipinga mwanzo mwisho kwa hiki nilichokileta hapa.
Nimalize kwa kutoa Pole zangu nyingi na za Kipekee kabisa kwa Watanzania wote waliopatwa na madhira ya Kimbunga Hidaya hasa kule Kisiwani Mafia na Mkoani Lindi na maeneo mengine. Mwenyezi Mungu awapeni Uwepesi, Rehema na Uimara ili mrejee katika Maisha yenu ya kawaida na mpate Misaada mbalimbali. Pia Roho za wale Wote waliofariki dunia namwomba Mwenyezi Mungu aziweke mahala pema peponi Ameni.