mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Abdul ngarawaRTD mazungumzo baada ya habari ,mtangazaji- Berni Kiko kama sijakosea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abdul ngarawaRTD mazungumzo baada ya habari ,mtangazaji- Berni Kiko kama sijakosea
Sio saa sita? Ilikua tukikasikia tunajua muda umeshasonga sana na hatujalalaKale ka wimbo kalikopigwa saa tatu usiku wakati wa kwarezma.
...akakata roho msalabani...
Mwenye nacho aashee tujikumbushe
Hahaaaaaaa huyu mama ashawahi kuwa mtangazaji? Maana alikuwa naibu waziriMwantum Mahiza RFA
Radio sauti ya injili ya moshi walikua wanakirusha, sijui miaka hiiKBC radio kipindi neno litaendelea mtangaji ni Leonard Mambo mbotela na Godfrey Mahina
Wanajua kutangaza michezo ya kutafuta hela za wajinga 🚮🚮Dah upande wa maigizo mkuu nakumbuka WAHAPA HAPA(RFA) mkuu radio za siku hizi ubunifu ziro kabisa
🤣🤣 "Mahoka" umenikumbusha mbali sanaPwagu na Pwaguzi ''Mahoka"
Tatizo watu saivi ukimwi wanachukulia kama mafua, mambo yamebadilika sanaIlikuw good Sana ,hasa ka Melody na wimbo kabla ya igizo.heli niwe peke yangu.......hell niwe nasubira ........hell niwe na mmoja ....ukimwi watisha /waniua us kipenzi ,waniua ua mamaee ×2 maneno yako matamu waniua ua ...***** waniua ua kipenzi waniuaua[emoji24][emoji24]mtu ulikuw unaji fill Kama unajanga vile[emoji2][emoji2]