Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Tungefanyiwa sisi tungepiga kelele ubaguzi. Hivi si vichekesho, ni kumock culture ya watu. Ustaarabu muhimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wadada wa kazi huwa mnachekeshwa na mambo madogo ambayo hata si vichekesho.Mimi naona inanichekesha. Au tatizo hapo lipo wapi? Maana hao ni wachekeshaji nadhani wanafanya kazi yao tu,
Ila steve nyerere ame fit sana hiyo Role hapo😂😂😂
Ila ndugu zangu kweli mpo na stress sana. Hivi kweli saa Tisa alfajiri hii upo online unaniita mimi dada wa kazi mtu ambaye hata hunifahamu? Wala hujui jinsia yangu.Nyie wadada wa kazi huwa mnachekeshwa na mambo madogo ambayo hata si vichekesho.
Nchi nliyopo kumekucha sasa. Sijajua kama huko uliko wewe ni saa tisa. Sijasema kwa kukudharau najua hizo nazo ni kazi. Mwanaume hawezi akawa anacheka cheka kama bwabwa. Mwanaume anakuwa serious na anacheka kwa mambo ya akili.Ila ndugu zangu kweli mpo na stress sana. Hivi kweli saa Tisa alfajiri hii upo online unaniita mimi dada wa kazi mtu ambaye hata hunifahamu? Wala hujui jinsia yangu.
Utakuwa una stress sana ndio maana hata hiyo clip haikuchekeshi. Pole sana, Tafuta msaada wa kitabibu kabla hali haijawa mbaya ukajidhuru
Kwa nchi gani uliyopo wewe?? Toa ndoto zako hapa.. Ungekuwa nchi yoyote wewe usingeonea wivu Wasanii wa tz kwenda korea. Ila imekuuma sana, unatamani ungekuwa wewe sio?? Pole sana ila bado nafasi unayo, siku hizi kuwa msanii ni rahisi tu. Na nimeona una kipaji,Nchi nliyopo kumekucha sasa. Sijajua kama huko uliko wewe ni saa tisa. Sijasema kwa kukudharau najua hizo nazo ni kazi. Mwanaume hawezi akawa anacheka cheka kama bwabwa. Mwanaume anakuwa serious na anacheka kwa mambo ya akili.
Tungefanyiwa sis tungepiga kelele ubaguzi. Hivi si vichekesho, ni kumock culture ya watu. Ustaarabu muhimu.
View: https://www.instagram.com/reel/C9Ft-29SnfL/?igsh=MTd6MzdtZHN5Y3R0OA==
Tungefanyiwa sis tungepiga kelele ubaguzi. Hivi si vichekesho, ni kumock culture ya watu. Ustaarabu muhimu.
View: https://www.instagram.com/reel/C9Ft-29SnfL/?igsh=MTd6MzdtZHN5Y3R0OA==
Tungefanyiwa sis tungepiga kelele ubaguzi. Hivi si vichekesho, ni kumock culture ya watu. Ustaarabu muhimu.
View: https://www.instagram.com/reel/C9Ft-29SnfL/?igsh=MTd6MzdtZHN5Y3R0OA==
Sasa kama kitu hakikuchekeshi wewe ndio kitaacha kuwachekesha wengine. Punguzo makasiriko na maisha haya mafupi ya hapa duniani.Nyie wadada wa kazi huwa mnachekeshwa na mambo madogo ambayo hata si vichekesho.
Punguza ujuaji mkuu, hujui hata kilichokuwa kinaendelea behind the scene.Shida ya hao wasanii wengi wao elimu hakuna ni ujanja ujanja na kuroga ndio umewasaidia kupenya sasa hawana exposure na dunia inavyoendaa..
Huwezi kwenda nchi ya mtu ukaanza ku imitate lugha usiyoijua bila maelekezo imagine hapo wameongea neno lisilofaa kwa wenyejii na wakasikia.
Hawa wenzetu wapo very sensitive na vitu vidogovidogo tu.
Yaani mzungu au mkorea leo aje bongo avaa kanga then aanze kujiigiza kiswahili akitamka matusi tutamchukuliaje...!
Serikali mnaowapeleka hao wasanii huko kuwapa exposure mwape na miongozo pia mnaweza kuchafua nchi badala ya kujenga..
Dada ni kama umepanic. Anyway nyie najua huwa mna enjoy sana hayo mambo. Fanya kazi boss wako asije kugombeza. Just calm down sister maisha hayataki hasira.Kwa nchi gani uliyopo wewe?? Toa ndoto zako hapa.. Ungekuwa nchi yoyote wewe usingeonea wivu Wasanii wa tz kwenda korea. Ila imekuuma sana, unatamani ungekuwa wewe sio?? Pole sana ila bado nafasi unayo, siku hizi kuwa msanii ni rahisi tu. Na nimeona una kipaji,
Sawa dada beki 3Sasa kama kitu hakikuchekeshi wewe ndio kitaacha kuwachekesha wengine. Punguzo makasiriko na maisha haya mafupi ya hapa duniani.
Mkuu wewe una dalili zote za msongo wa mawazo, jaribu kuwaona wataalamu mapema. Haya maisha hupaswi kuyachukulia kwa makasiriko kiasi hicho.Sawa dada beki 3