Haya Watz mambo ya kukohoa kohoa kila mwanamke akipita, unatiwa lockup

Hii ni visiwani Zanzibar ambapo asilimia kubwa ya watu wake ni Waislam..Tena ni kwa kipindi cha Ramadhan tu nafkiri
 
Yellow girl ndio color ya huyo msupa au, alafu hiyo sheria isiwatishe sana, amesema usikohoe, cough, cat calling is calling, it's ok

Hata usigune, umeona video yote inasema hata usiombe namba ya simu.
 
Huyu afande mwenyewe anaonekana mzoefu!!

Kikohozi cha namna hiyo alichokitoa ni kwa wale wenye uzoefu na michezo hii kwa zaidi ya miaka 30[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nimecheka hapa hadi basi, mbavu zangu....kwa hivyo hata wewe unajua jinsi ya kutofautisha hivyo vikohozi, una kauzoefu fulani.
 
Yellow girl ndio color ya huyo msupa au, alafu hiyo sheria isiwatishe sana, amesema usikohoe, cough, cat calling is calling, it's ok
Rangi ya thao aka brown skin
 
Mod kwani neno 'una.tiwa' lockup lina nini hadi mumelifanyia masking kwenye kichwa cha huu uzi, sio kila kitu kinahusu mambo yale jameni, hilo ni neno la kiswahili.
Kweli kabisa Mkuu hiyo ndio call a spade a spade.
 
Mkuu haiwez kuwa criminal offence hata SOSPA yenyewe ipo kimya
Kuna involuntary act huwez prove mens rea
Kamanda alikuwa ana hang over
Shida ni mwanamke awe na nia mbaya na wewe lazima utukipata.
 
Bora hata kushangaa kwa kusema 'Yesu wangu' au 'Mtumee' haijawa kosa la jinai...

Badala ya kukohoa sasa tutakua tunatumia hayo maneno...


Cc: mahondaw
 
Bado,tutapangiwa pia kuwalala wake zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…