Haya wavaa milegezo wahini mitindo mipya hiyo

Haya wavaa milegezo wahini mitindo mipya hiyo

Watu wa humu wengi ni wanafiki wakubwa!Akishavaa star wenu diamond halafu zikasifiwa na mademu zenu mtazivaa tuu!Huwa siwaelewi kabisa mnapokuja kumsifu mtu kama diamond eti ametuinua! Ujinga mtupu,mtavaa tu milegezo,hereni,na vikuku mnavaa,mtashindwa nini kuyaita hayo magauni na skirt kuwa ni kanzu za kisasa ama vikoi vya vijana!Huu ujinga mbona soon utaanzia hapo Dar na mtatuita wakuja na washamba sie tuliokataa upuuzi wenu huo
 
Naona mpiga picha ndo mume wao na hapo anaturingishia wakeze
 
Culture is dynamic, not static.
f1d7de6496fe7521a0b4f5ace39d4aa9.jpg
379900c99f1df9ed8147b96be7df8851.jpg
 
Siku hizi mijambazi ya kuikalia mbali inavaa vilemba, hereni,bangili na inasuka nywele.
Nani alijua kuna siku mwanamke kuvaa suruali itakuwa ni kitu cha kawaida.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakoelekea sasa wataanza kuvaa na hadi magau
 
Vizazi va majoka.watoto wa malaika wa ukahaba.wafalme wa dunia nao wataonja ukahaba.mzungu bwana
 
Atakaenunua hii nguo na kuvaa sio mzima upstairs hata hao waliopigwa picha apo naona sio wazima
 
Mondi kwenye remix ya my number one nae kavaa kigauni, soon tutamuona na moja kati ya hizo
 
Nimecheka sana hizi nguo mpaka mbavu zinauma! Mungu tusaidie waja wako maarifa turudishie vinginevyo tumepotea wanao!
 
Back
Top Bottom