Haya weekend ndio hiooo imeanza, tupe location

Haya weekend ndio hiooo imeanza, tupe location

Yes naweza so hamna tatizo na zinakuwa saved kwenye archive ya TV! Kwanza hayo mayowe yanayopigwa na yupo peke yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijui angekuwa na kampani ingekuwaje...
Ana mzukaaaaa, ukiona hivyo unambana mwachi siku za.mpira aje Bar au njoo nae utaenjoy saana

Try this utanishukuru.maana utarudi nae home yupo very happy[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
We Yanga au.Simba??
Mi
FB_IMG_1625308121070.jpg
 
Jumapili ndio narudi zangu Dar nliwamisi sana washakaji wangu wa Dar, tukutane mnadani Kibamba Chama.

Kwa sasa bado nipo Dodoma hapa Rainbow soon ntakua Bambalaga tupe location

Upo wapi saivi
Unafanya nini
Tutamanishe vibe la hapo bila kusaha kapicha
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mi ntakuwa loliondo nataka nikasuuze suuze na mbuzi kidogo
 
Back
Top Bottom