EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #81
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I know what you mean. I'm gonna do the same tonite.
[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I know what you mean. I'm gonna do the same tonite.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji34][emoji34][emoji19][emoji57][emoji57][emoji57]Ha ha ha leo namuacha aangalie mwenyewe nitazamia netflix [emoji4]siku mojamoja nampa kampani tu!
Ha ha ha i know sijisuffocate kila siku 🤣🤣🤣[emoji849][emoji849][emoji849][emoji34][emoji34][emoji19][emoji57][emoji57][emoji57]
Mtuelewe tu inapofikia kipindi hiki na world cupHa ha ha leo namuacha aangalie mwenyewe nitazamia netflix 😊siku mojamoja nampa kampani tu!
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] tunavaa rimoti shingoni kama ID[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtuelewe tu inapofikia kipindi hiki na world cup
Maana tunapewa taarifa kabisa saa kumi na mbili TV yangu 🤣🤣🤣🤣!!Mtuelewe tu inapofikia kipindi hiki na world cup
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji851][emoji851]Ha ha ha i know sijisuffocate kila siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utaangali marudio ya ttamthilia zako jumamosiMaana tunapewa taarifa kabisa saa kumi na mbili TV yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!
Yes naweza so hamna tatizo na zinakuwa saved kwenye archive ya TV! Kwanza hayo mayowe yanayopigwa na yupo peke yake 🤣🤣🤣sijui angekuwa na kampani ingekuwaje...Utaangali marudio ya ttamthilia zako jumamosi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ana mzukaaaaa, ukiona hivyo unambana mwachi siku za.mpira aje Bar au njoo nae utaenjoy saanaYes naweza so hamna tatizo na zinakuwa saved kwenye archive ya TV! Kwanza hayo mayowe yanayopigwa na yupo peke yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijui angekuwa na kampani ingekuwaje...
Embu pics tuoneNdani baridi, nimetoka nje naota jua mithili ya kenge / mjusi.
Ha ha ha simbani.... hapendi kwenda bar inawezekana kwasababu si mnywaji so....Ana mzukaaaaa, ukiona hivyo unambana mwachi siku za.mpira aje Bar au njoo nae utaenjoy saana
Try this utanishukuru.maana utarudi nae home yupo very happy[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji991][emoji328] yupo Mbeya huyu huko wanaishi.kama RussianEmbu pics tuone
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] hongera mamaa awe anakupa simu yake ukae nayo kama HANYWI [emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]Ha ha ha simbani.... hapendi kwenda bar inawezekana kwasababu si mnywaji so....
Hilo pia sio tatizo![emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] hongera mamaa awe anakupa simu yake ukae nayo kama HANYWI [emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Mi ntakuwa loliondo nataka nikasuuze suuze na mbuzi kidogoJumapili ndio narudi zangu Dar nliwamisi sana washakaji wangu wa Dar, tukutane mnadani Kibamba Chama.
Kwa sasa bado nipo Dodoma hapa Rainbow soon ntakua Bambalaga tupe location
Upo wapi saivi
Unafanya nini
Tutamanishe vibe la hapo bila kusaha kapicha
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mkuu enjoy life is too shortKama upo Mwanza kuna sehemu tunaita MWANZA LAKE VIEW FARM ni Lakini sana.