EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #21
Wapi[emoji23][emoji23][emoji23]Bia mbona zimepanda bei badala ya kushuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi[emoji23][emoji23][emoji23]Bia mbona zimepanda bei badala ya kushuka
Haya mkuu kula maishaNipo Samaki Samaki ya mlimani city, nikitoka hapa nitajua chaka lingine la kwenda malizia, kulala hadi kesho [emoji41][emoji41]
Nikitoka samaki samaki nakuja juliana.. nitakukuta hukoNjoo 5-N tukitoka tunaenda juliana !! Bia mziki kama wotee
Mwenge au TemboniNjoo 5-N tukitoka tunaenda juliana !! Bia mziki kama wotee
Poa mkuu nakuja lazimaTukutane kesho Asubuhi Msalato.
Nimepita barabarani hapo naona desperados wanafanya yao hapo today.Nipo Samaki Samaki ya mlimani city, nikitoka hapa nitajua chaka lingine la kwenda malizia, kulala hadi kesho [emoji41][emoji41]
Geuza gari unawahi niniNimepita barabarani hapo naona desperados wanafanya yao hapo today.
Yaah! Shangwe la hatariii hapa.. kitogo tunachangamka tupunge na ma stressNimepita barabarani hapo naona desperados wanafanya yao hapo today.
Kuna siri gani kwani ?Mshalewa mnaanza ku disclose location zenu.
pamoja sana mkuu.Saafi sana mkuu
Unaogopa nini Chaliiangu.mbona unaishi kama kunguru.Mshalewa mnaanza ku disclose location zenu.
Kabisa aseeYaah! Shangwe la hatariii hapa.. kitogo tunachangamka tupunge na ma stress
Mimi nipo nyumbani hapa nakunywa chai taratibuuu. 😂Unaogopa nini Chaliiangu.mbona unaishi kama kunguru.
Samia hanaga hayo.mambo DAB alishastaafu nayo na baba Jiwe
Watu waoga sanaKuna siri gani kwani ?
Saaafi sana mkuu ongeza tangawizi, mchaichai na limao maana wanasema inazuia covid[emoji41][emoji41]Mimi nipo nyumbani hapa nakunywa chai taratibuuu. [emoji23]
Ukiona mtu anaogopa kukuta, ujue anatukanaga watu au lugha kali kwa watuWatu waoga sana
Hata sielewagi wanachoogopaga mi shawahi kukutana na members kama 20 wa JF na nimetambauna kwa mara ya kwanza humu Jf
Yeah mchai chai upo wakutosha.Saaafi sana mkuu ongeza tangawizi, mchaichai na limao maana wanasema inazuia covid[emoji41][emoji41]
Yaan mkuu acha tuH
Halafu kesho unaambiwa eti ukalime mihogo, AJIRA HAKUNA..!!
Dunia HAINAGA HAKI kabisaaa.
#YNWA