Haya ya kufanyiwa kazi haraka Simba SC kabla ya kuanza Ligi Kuu na michuano ya CAF

Kwanza mimi napingana na hoja zako zote.

1. Unasema kocha abadilike kwa kufungwa mechi moja tu na Yanga ? Si kweli Zoran aliaproach vizuri sana mechi ya Yanga first half na asingefanya mabadiliko kwenye second half wakati kikosi chake kilicheza vizuri kipindi cha kwanza.
Subs zake alifanya kwa nia njema kabisa ya kwenda kutunza mpira kwa kumuingiza Okwa na Okra alichokosea ni kumtoa Chama akamuacha Sakho, alitakiwa kumtoa Sakho amuache Chama.

2. Unasema Simba wanahitaji DM simba DM wanao zaidi ya watatu kikosini na wote wana quality kuliko timu yoyote ya ligi kuu. Akpan, Kanoute, Mkude na Mzamiru.

3. Unasema Simba wanahitaji replacement ya Prime Kanoute lini Kanoute alikuwa kwenye Prime yake ?

4. Mnataka mashabiki waachie ngazi kwa lipi? Kufungwa na Yanga mechi mbili mfululizo ? Are you serious shabiki wa namna hiyo ni shabiki maandazi and probably ni shabiki mamluki.

5. Anyway umesuggest Simba wamsajili DM wamwache nani waende wakamchukue nani ?
 
Goli la kwanza la Mayele ndiyo kosa la DM ila goli la pili lilikuwa kosa la timu nzima.

Hakuna aliyetrace back kwa strikers kumsumbua Dikson Job,

Kwenye midfield hakuna aliyefanya zone marking.

Defenders hakuna aliyenusa hatari ya mpira ule na kufanya interception in fact the whole team was in shambles.
 
Spot on
 
Ukali wa huyo striker wa Tsh 400 umeujua vipi ?

Kwenye ligi nyepesi kama Uganda alikuwa na 18 goals tu.

Kwenye kikosi cha As Vita hakuwa na maajabu yoyote wewe huo ukali umeuona wapi ?

Simba ina kikosi cha kufunga magoli mengi kuliko hata hitaji la huyo striker.
 
Viongozi wasio na elimu kwenye bodi aliwalenga kina nani ?

Je mpaka sasa wapo ?
 
Kikosi cha mwanzo kilikuwa sawa ndiyo maana kilitawala sehemu kubwa ya mchezo.
 
Nafikiri ile yellow kadi ilipunguza sana ufanisi wake kwa asilimia kubwa.
 
Fraga na Lwanga kazi yao moja tu, ni kukaba na kuharibu mashambulizi, Mkude si Defensive Midfielder ni Holding Midfielder.
Hao watu kina Fraga na Lwanga bado wako kwenye ubora ule ule wa miaka hiyo ?
 
Mafisango hakuwa DM
 
Kanoute hakuwepo ?
 
Matola amewakosea nini ?
 
Najibu hoja mbili 4 na 5 hapo kwenye Uzi

Kuhusu mashabiki nimesema kuwa kuna mashabiki wanasusia Timu na kutaka uongozi uachie ngazi, hapo sioni kosa la viongozi maadamu wametimiza wajibu wao kwenye usajili.

Kiungo Defensive Midfielder kwa kumtegemea Mkude na Mzamiru endapo Kanoute akiwa low ni kujidanganya.

Kuna mdau ametoa maoni yake kuwa ikiwa kusajili DM ni ngumu kama kuna Mchezaji anaweza kutengenezwa akawa DM imara, kutafuta mbadala si lazima kusajili, kama Kocha anaona Akpan hatoshi ni kiasi cha kumuweka sawa.
 
Sasa si ndo yale tunayozungumza, sijaona unapinga nini kulingana na Comment yako hii.

Uliyosema ndo tumeyasema yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…