Haya ya kufanyiwa kazi haraka Simba SC kabla ya kuanza Ligi Kuu na michuano ya CAF

Nimeishia uliposema ALIDHARAU... HIVI UNA AKILI KICHWANI?? NANI ALIWAHI KUDHARAU MECHI???
 
Alizarau mechi kocha wa simba huwezi ukamuanzisha mzungu kwenye derby kama zile wakati hata pre season hakuwa na team.
 
Duh! Unajua kukatisha tamaa wenzako.
 
Tatizo la Simba ni kufukuza makocha. Sven alikuwa kocha mzuri sana
 
Hana muda mrefu sana kwenye timu taratibu ataipata best eleven yake
 
CHAMA AMETOLEWA DK YA NGAPI NA MATOKEO YALIKUWAJE MUDA HUO??
 
Wasipoelewa hapa basi waache.
 
Nilipoona tu yumo Kibu, Kanoute, Mkude na Kyombo nikajua hapa leo hatutoboi.

Kanoute aliniprove wrong, lakini hao wengine hakuna walichokifanya.
 
Kanoute anauwezo wa kucheza DM tena kwa kiwango kikubwa sana, game na Yanga kirumba kipindi cha pili dk ya 70 alisimama kama DM na alicheza kwa ufanis mkubwa sana licha ya kua ni Box to box kocha amshift acheze DM maana ana sifa za DM
 
Nimeishia uliposema ALIDHARAU... HIVI UNA AKILI KICHWANI?? NANI ALIWAHI KUDHARAU MECHI???
Kwangu siwezi kuwa na akili kama yako..Wote wameleta maoni yao kwa mtazamo wao.

Kama unaweza kusema eti umeishia niliposema sijui nini inakuhusu nini wewe Pimbi? Umeitwa

Baada ya game Kocha Zaron amekiri kuzidiwa mbinu na kusababisha kupoteza game, sasa wewe ni zaidi ya Kocha?

Halafu unaleta bhah bhah zako hapa.
 
Sasa hao unaowashauri hivi ni kama mang*ombe tu hayaelewi na wala hakuna watakachofanya zaidi ya ujinga tu walete mzunguu....mlete mzunguu..
 
Tatizo la Simba ni kufukuza makocha. Sven alikuwa kocha mzuri sana
Simba hawataki kocha wa mbinu kama kishingo na pablo wao wanataka pira biriani dakika 90 ila wale kina pablo na sven walikuwa technical coach.
 
Style ya kocha ..timu inacheza vizuri posesive game..
Katikati simba bado la shida..hatuna kiungo ambaye ni fast na nguvu ( ona Khalid aucho )..
Bado naangalia Quattara speed yake..

Bt Simba haukuzidia sana , ila second half subs
 
Simba hawataki kocha wa mbinu kama kishingo na pablo wao wanataka pira biriani dakika 90 ila wale kina pablo na sven walikuwa technical coach.
Kwani kishingo aliondokaje Simba ?

Pablo alikuwa na football philosophy tofauti na club ulitaka timu iendelee kucheza mpira usioeleweka ?
 
Kocha Zaron Maki alimuhitaji zaidi Mohamed Ouattara kuliko Herve Ngomo ambapo kamati ya usajili walimtaka.

Lakini rejea kwenye Uzi, hakuna beki bora kama hakuna Defensive Midfielder
Lakini ngomo ana offer viwili beki wa kati na kiungo mkabaji
 
Ni kweli mashabiki wengi wasiofahamu mpira kiundani wanataka lazima Simba isajili kiungo mkabaji mwenye weledi wa Lwanga au Fraga. Lakini narudia tena sio lazima Simba wasajili bali benchi la ufundi kama ni mahiri wanaweza kumtengeneza ndani ya kundi la wachezaji 30 waliosajiliwa na sio lazima afanye kazi hiyo kwa 100%. Bali atakuwa wa mpito tu mpaka dirisha dogo watakapopata mtu mwenye kazi yake. Kwa kuwasaidia Simba kiufundi zaidi Akpan na Outara wanaweza kuifanya hiyo kazi kwa ufanisi sana. Na ikishindikana hao hata Kapama atengenezwe ila huyu ni kisaikolojia zaidi na itahitaji muda zaidi vinginevyo akifanyiwa haraka atapotea kama alivyopotea mwenzie Abdulswamad.

Na hili sio geni kabisa. Kwa wanaofuatilia mpira muda mrefu na wenye kumbu kumbu nzuri watamkubuka kocha mmoja wa Simba aliyekuwa anaitwa Lenchatre ambaye alimtengeneza Kapombe halafu akamuhamisha toka pembeni na kumuingiza kati kucheza kiungo mkabaji na 6 na wakati mwingine namba 8 kutegemea mahitaji ya timu kutokana na mechi husika. Na Kapombe alimpa Lechantre alichohitaji kwa wakati ule. Sasa benchi la ufundi la sasa hivi kumbadilisha Mkude kucheza "aggressive" kama kiungo mkabaji haliwezi lakini hata kutengeza mchezaji mwingine wa kubeba hayo majukumu limeshindwa ndani ya wiki tatu za pre season Misri.
 
Kapombe ni versatile toka muda mrefu hivyo hakukuwa na kutengeneza chochote pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…