muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
Hichi chuo kilichopo Mbezi, st joseph
1)Uchaguzi wa wanafunzi kuchagua rais wao, mawakala, wenyeviti wa tume ya uchaguzi walikuwa walimu wa chuo (wahindi) na sio wanafunzi.
2) Huruhusiwi kwenda Kujisaidia ukiwa ktk Chumba cha EXAM, japo ukotoke hapa hapo.
3) Ada kubwa sana kupita kiasi inawalazimu wanafunzi kutoa pesa mifukoni kukamilisha ada baada ya 100% ya bodi ya mikopo kutokamilisha ada
4)Pesa ya Stationary uitumie Chuoni, vitabu na madafatari gali sana vyenginevyo utakuwa umekiuka Sheria
5)Hamna mapumziko, akitoka lecture kaingia mwengine. kama hayupo basi anaingia Lecture mwengine kusimamia eti pasitokee zogo. hadi saa za kula.
1)Uchaguzi wa wanafunzi kuchagua rais wao, mawakala, wenyeviti wa tume ya uchaguzi walikuwa walimu wa chuo (wahindi) na sio wanafunzi.
2) Huruhusiwi kwenda Kujisaidia ukiwa ktk Chumba cha EXAM, japo ukotoke hapa hapo.
3) Ada kubwa sana kupita kiasi inawalazimu wanafunzi kutoa pesa mifukoni kukamilisha ada baada ya 100% ya bodi ya mikopo kutokamilisha ada
4)Pesa ya Stationary uitumie Chuoni, vitabu na madafatari gali sana vyenginevyo utakuwa umekiuka Sheria
5)Hamna mapumziko, akitoka lecture kaingia mwengine. kama hayupo basi anaingia Lecture mwengine kusimamia eti pasitokee zogo. hadi saa za kula.