Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,402
- 925
sijui!
do!haya bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui!
Hichi chuo kilichopo Mbezi, st joseph
1)Uchaguzi wa wanafunzi kuchagua rais wao, mawakala, wenyeviti wa tume ya uchaguzi walikuwa walimu wa chuo (wahindi) na sio wanafunzi.
2) Huruhusiwi kwenda Kujisaidia ukiwa ktk Chumba cha EXAM, japo ukotoke hapa hapo.
3) Ada kubwa sana kupita kiasi inawalazimu wanafunzi kutoa pesa mifukoni kukamilisha ada baada ya 100% ya bodi ya mikopo kutokamilisha ada
4)Pesa ya Stationary uitumie Chuoni, vitabu na madafatari gali sana vyenginevyo utakuwa umekiuka Sheria
5)Hamna mapumziko, akitoka lecture kaingia mwengine. kama hayupo basi anaingia Lecture mwengine kusimamia eti pasitokee zogo. hadi saa za kula.
Hichi chuo kilichopo Mbezi, st joseph
1)Uchaguzi wa wanafunzi kuchagua rais wao, mawakala, wenyeviti wa tume ya uchaguzi walikuwa walimu wa chuo (wahindi) na sio wanafunzi.
2) Huruhusiwi kwenda Kujisaidia ukiwa ktk Chumba cha EXAM, japo ukotoke hapa hapo.
3) Ada kubwa sana kupita kiasi inawalazimu wanafunzi kutoa pesa mifukoni kukamilisha ada baada ya 100% ya bodi ya mikopo kutokamilisha ada
4)Pesa ya Stationary uitumie Chuoni, vitabu na madafatari gali sana vyenginevyo utakuwa umekiuka Sheria
5)Hamna mapumziko, akitoka lecture kaingia mwengine. kama hayupo basi anaingia Lecture mwengine kusimamia eti pasitokee zogo. hadi saa za kula.
Hichi chuo kilichopo Mbezi, st joseph
1)Uchaguzi wa wanafunzi kuchagua rais wao, mawakala, wenyeviti wa tume ya uchaguzi walikuwa walimu wa chuo (wahindi) na sio wanafunzi.
2) Huruhusiwi kwenda Kujisaidia ukiwa ktk Chumba cha EXAM, japo ukotoke hapa hapo.
3) Ada kubwa sana kupita kiasi inawalazimu wanafunzi kutoa pesa mifukoni kukamilisha ada baada ya 100% ya bodi ya mikopo kutokamilisha ada
4)Pesa ya Stationary uitumie Chuoni, vitabu na madafatari gali sana vyenginevyo utakuwa umekiuka Sheria
5)Hamna mapumziko, akitoka lecture kaingia mwengine. kama hayupo basi anaingia Lecture mwengine kusimamia eti pasitokee zogo. hadi saa za kula.
Hichi chuo kilichopo Mbezi, st joseph
1)Uchaguzi wa wanafunzi kuchagua rais wao, mawakala, wenyeviti wa tume ya uchaguzi walikuwa walimu wa chuo (wahindi) na sio wanafunzi.
2) Huruhusiwi kwenda Kujisaidia ukiwa ktk Chumba cha EXAM, japo ukotoke hapa hapo.
3) Ada kubwa sana kupita kiasi inawalazimu wanafunzi kutoa pesa mifukoni kukamilisha ada baada ya 100% ya bodi ya mikopo kutokamilisha ada
4)Pesa ya Stationary uitumie Chuoni, vitabu na madafatari gali sana vyenginevyo utakuwa umekiuka Sheria
5)Hamna mapumziko, akitoka lecture kaingia mwengine. kama hayupo basi anaingia Lecture mwengine kusimamia eti pasitokee zogo. hadi saa za kula.
Unalalamikia nini exactly?!
1) Uchaguzi=> Chuo kina mamlaka ya kuchagua namna ya kuendesha uchaguzi wa viongozi wa wanafunzi as it sees fit. Kama ulikua na nia ya kuingia/kushabikia siasa za chuo, u should have asked kabla ya ku-apply. The up-side, sijawahi kusikia migomo ya wanafunzi wa st joseph.
2) Kuisaidia=> Vyuo vingi tu wanafanya hivyo. Sijui TZ, but nafahamu kuwa UDSM, msimamizi anareserve haki ya kukubalia au kukukatalia kwenda kujisaidia wakati wa mtihani. Na hutorusiwa in the last 30- minutes of the exam. Fanya kila kitu before the exam if u know u've weak bowels/bladder. Baadhi ya wanafunzi wanaweka desaz/chaboz kwenye toilets, so from where I stand kutorusiwa kutoka nje ya chumba cha mtihani is OK.
3)ADA=>Ulichoandika haki-make sense, nini maana ya 100% kama haikamilishi ada?. Kama unajaribu kusema kuwa ada yao ni kubwa, tunarudi kule kule: uliza ada kabla hauja-apply au kukubali admission.
4)STATIONARY=>Vyuo vingi hela ya stationary huwa inalipwa by the mwanafunzi to the university as part of the compulsory fees. Chuo ndio kinatoa stationaries na kinapanga bei inazoona ziko fit. Hii ni sawa kabisa na wewe kubaki na hela yako na kuitumia kununua kwenye stationary ya chuo, yenye bei ambazo chuo imepanga. Again: Uliza kabla ya ku-apply/kukubali admission.
5)MAPUMZIKO=> Hapa sina hata cha kuongea. Watu wanalalamika kufugishwa sharubu siku nzima bila kumuona lecturer, wewe unalalamika lecturers kufululiza.Two words for u: PIGA SHULE.
Hizi sheria Kama zimeletwa baada ya nyinyi kujiunga kweli daini haki zenu,Kama sivyo ondoeni Ujinga. Ulisoma vizuri joining instructions na vigezo na masharti ya chuo?
Kama vipi tafuta chuo cha serikali au ambacho unaweza kukimudu 😱