Haya yote aliyofeli Rais Magufuli ni madogo sana, mradi wa Stiglers Gorge ndiyo utakuwa tsunami kwenye kushindwa!

Kilaza vipi,,Jiwe alferi kama ulivyoomba na chadema Yako au umebadili mawazo
Wewe mburula ngumbaru jifunze kuandika kwa herufi sahihi kabla ya kuninukuu.

Halafu ondoka katika Uushuzi wa one track mind ya kufikiri kwamba kila anayemsema Magufuli ni CHADEMA.

Jiwe hatuna muda wa kumsema, tumewaachia hiyo kazi CCM wenzake kina January Makamba
Your browser is not able to display this video.
 
80MGW kwa gharama zote hizo mmmmmh kumbe sasa 2100MGW ni lundo la hela kwa sababu

80MGW~1tr
2100MGW~? crossmultplication

(2100MGW×1tr)÷80MGW=26.25trillions mmmh sio poa
Katumia 6 trillion
 
Sasa huyo ndio source? What if Anamchafua?
 
Sasa huyo ndio source? What if Anamchafua?
Huyu ndiye aliyesema hivi karibuni tu, haya yalisemwa miaka mingi ila yalionekana maneno ya wapinzani tu, sasa hivi mpaka CCM wenyewe wanakubali.

Jiwe hahitaji mtu wa kumchafua, alikuwa anajichafua mwenyewe hata kwa kauli zake za waziwazi.

Tatizo Tanzania ni nchi ya low standards.
 
Humu watu hushabikia kama mazuzu tu.

Mradi unapeta kwa sasa wanataka maua apewe huyu at aliukuta upo 30% ila ungebuma hizi nyuzi ndiyo zingekuwa rejea.
Sifa za jiwe ni kuthubuthu na kuweka mipango ya fedha itakapopatikana kwa kushirikiana na Dr mpango by then alikiwa wazir wa fedha
 
Huyu Mbweha Bado ana ujuha huu!?
 
Humu watu hushabikia kama mazuzu tu.

Mradi unapeta kwa sasa wanataka maua apewe huyu at aliukuta upo 30% ila ungebuma hizi nyuzi ndiyo zingekuwa rejea.
Liliwaka jua kali mwaka jana 2023 wakasema sababu ya kuharibu mazingira kwenye JKNHP kule Selous mloka.
Hawajui climatology ya nchi yao ukame hutokea miaka miwili mfululizo mwaka wa tatu inakuja mfuata nyingi sana. Ni recurring events.
 
Duh! Sawa mzee
 
Nani ame-fail kati yako na Magufuli?
Muda ndiyo mwalimu mzuri.
Tuweke akiba ya maneno.
 
Hii ni Ile ya rusumo ila ya rufiji ya meg wat 2160 ndo trillion 6
Nilikua nasema Rufiji katumia hizo tuko sawa. Na alitumia wakandarasi wa kiafrika, probably aliona ndio wanaweza kwa bei tajwa.

Ila nchi inachekesha bana, vimegawati miambili tunaomba mkopo ila Elf 2, tunachukua domestic revenue.
 
Mwisho wa siku umeonekana mjinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…