Haya yote yalikuwemo wakayapinga, leo wanayapongeza

Haya yote yalikuwemo wakayapinga, leo wanayapongeza

Chadema walikataa hiyo yote eti kisa serikali 3 haikuwemo, wakalishwa matango pori na Mpemba mmoja hivi, wakaikataa katiba ile, leo wanapayuka!

Kwani tunatafuta katiba ya CDM au ya wananchi? Maoni yaliyokusanywa na tume yalikusanywa kwa wanaCDM tu?
 
Back
Top Bottom