Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Sep 3, 2017 #21 Prince Kunta said: Yaani sijui wanaanzaje kuweka kikwazo kwa jambo jema katika nchi Click to expand... Si nchi ya viwanda, mkuu wa viwanda yupo busy viwandani.
Prince Kunta said: Yaani sijui wanaanzaje kuweka kikwazo kwa jambo jema katika nchi Click to expand... Si nchi ya viwanda, mkuu wa viwanda yupo busy viwandani.
Ghosryder JF-Expert Member Joined Jul 6, 2014 Posts 10,403 Reaction score 4,373 Sep 3, 2017 #22 Babati said: Stay tuned Click to expand... Poa kamanda
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Sep 3, 2017 #23 Ghosryder said: Poa kamanda Click to expand... Noted
Tanzania Nchi Yetu Sote JF-Expert Member Joined Mar 12, 2017 Posts 505 Reaction score 872 Sep 3, 2017 Thread starter #24 Ghosryder said: Chadema walikataa hiyo yote eti kisa serikali 3 haikuwemo, wakalishwa matango pori na Mpemba mmoja hivi, wakaikataa katiba ile, leo wanapayuka! Click to expand... Kwani tunatafuta katiba ya CDM au ya wananchi? Maoni yaliyokusanywa na tume yalikusanywa kwa wanaCDM tu?
Ghosryder said: Chadema walikataa hiyo yote eti kisa serikali 3 haikuwemo, wakalishwa matango pori na Mpemba mmoja hivi, wakaikataa katiba ile, leo wanapayuka! Click to expand... Kwani tunatafuta katiba ya CDM au ya wananchi? Maoni yaliyokusanywa na tume yalikusanywa kwa wanaCDM tu?