Hayana gharama lakini haya yanatugharimu sana kama taifa la vipofu

Hayana gharama lakini haya yanatugharimu sana kama taifa la vipofu

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kuna baadhi ya mambo ya kiutendaji tu hayana gharama kabisa lakini yamegeuzwa kama utamaduni na sheria!

Nitatoa mifano michache inayotugharimu na inaonekana ni sawa tu.

Mfano 1.! Kuna umhimu gani kesi za ardhi kuendeshwa zaidi ya miezi 6?
Yaani kielelezo cha mgogoro ambacho ni kipande cha ardhi kipo kinaonekana, wahusika wapo, mamlaka ipo n.k Huwa inapeleleza kitu gani kesi za namna hii kwenda miaka na miaka hata 5 au 10?

Mfano 2. Kesi ya ulawiti, kesi za sampuli ya hivi ambapo aliyelawitiwa yupo, mlawiti yupo, mazingira yapo ..huwa kuna haja gani ya upelelezi kurushwa mwezi hadi mwezi hadi aliyelawitiwa anapona?
Ujue mtu aliyelawitiwa leo na ikadhibitika kwa vipimo na na mazingira, ukirudi kumpima baada ya miezi anakuwa kapona na vielelezo haviwezi kukupa majibu kwasababu hata bikria zinarudishwa siku hizi na kesi kukosa mashiko tena! (Kipi hufanya kesi hizi kusikilizwa zaidi ya mwezi?

Mfano wa 3.
Kesi ya mauaji yenye vielelezo vya wazi kabisa kwamba mtu kaua, au kachinja na pengine hata mhusika mwenyewe anasimulia kachinja, kanyonga, kachoma moto n.k Swali upelelezi wa miaka pasipo maamuzi inasababishwa na nini kama tuna waza sawasawa?

Mfano wa 4.
Kesi za talaka, wana ndoa wanasuruhishwa kifamilia inashindikana, wanasuruhushwa kidini imeshindikana, wanaenda ngazi ya ustawi imeshindikana, wanakwenda mabaraza ya wilaya imeshindika, wanafikisha kesi mahakamani ....kesi inazungushwa miaka miwili miatatu mitano kwa sababu gani ya msingi?

Mfano 5

Kesi ya milathi .........kusikilizwa muda mreefu hadi watu wengine walithi wanakufa na vielelezo vipo bayana huwa ina msingi gani kiutendaji? Kwanini tusifanye kesi kuwa organized kwa wakati?

Hivi hayo yanagharama gani kwetu kama taifa kuyabadili yazingatie upotevu wa muda?

Mfano 6.
Udhulu wa hakimu au hakimu kuhamishwa n.k kwanini mahama wasiwe na kanzu data kila kesi inaposajiliwa na watu wajisajili ili kupeana updates za mahakama? Mfano mtu anasafiri kutoka dodoma, mbeya au mwanza anafika mahakaman anaambiwa hakimu hayupo!? Sasa update kama hizi kwanini wasingejulishwa wahusika mapema kwa mfumo wa mahaka.a na wasisumbuke kuja mahakaman ili wakazalishe katika kazi zao? (Huu upotevu wa muda mahakama kuuepuka unabgharama gani?)
 
Ndo maana ya sheria mkuu, mshitaki ana haki na mshtakiwa nae ana haki ya kusikilizwa !
Haimaanishi kuwa mshitakiwa mtu anakua amepoteza haki zake ndo maana kuna room kama kupimwa magonjwa ya akili ili wajithibitishie !
Kweli mahakama zetu zinatumia muda mrefu kwenye kesi ! Lakini pia lazima uwepo muda maalum wa kusikilizwa pande zote "sheria ni msumeno"
Wengine wamesingiziwa , wengine ni visasi mfumo wako ukitumika watu watalala ndani kama njugu mkuu 😂😂
 
Inaonekana wewe sio Muumini wa Utawala wa sheria. Sio kila anayetuhumiwa kubaka, kulawiti, mauaji ni kwlei amefanya hivyo ndio maana inakutaka wewe unayemtuhumu upeleke uthibitisho yaani ushahidi clear usio na mashaka.

Lakini haki ya asili natural Justice ni kusikilizwa hivyo ni lazima kila mmoja asikilizwe kwanza.

Hicho unachotaka wewe kama unaona ni njia sahihi itumie kwenye familia yako
 
Ndo maana ya sheria mkuu, mshitaki ana haki na mshtakiwa nae ana haki ya kusikilizwa !
Haimaanishi kuwa mshitakiwa mtu anakua amepoteza haki zake ndo maana kuna room kama kupimwa magonjwa ya akili ili wajithibitishie !
Kweli mahakama zetu zinatumia muda mrefu kwenye kesi ! Lakini pia lazima uwepo muda maalum wa kusikilizwa pande zote "sheria ni msumeno"
Wengine wamesingiziwa , wengine ni visasi mfumo wako ukitumika watu watalala ndani kama njugu mkuu 😂😂
Nimeuliza mambo meupe kabisa huwa yanatija gani kupigwa karenda! Naomba upitie mifano yangu hapo juu!

Vielelezo vipo vyote, wahusika wapo, kesi kuchukua muda inafaida gani?
 
Inaonekana wewe sio Muumini wa Utawala wa sheria. Sio kila anayetuhumiwa kubaka, kulawiti, mauaji ni kwlei amefanya hivyo ndio maana inakutaka wewe unayemtuhumu upeleke uthibitisho yaani ushahidi clear usio na mashaka.

Lakini haki ya asili natural Justice ni kusikilizwa hivyo ni lazima kila mmoja asikilizwe kwanza.

Hicho unachotaka wewe kama unaona ni njia sahihi itumie kwenye familia yako
Ndiyo upelelezi uchukue muda mwingi hivyo ...
 
Watakuja wajifiche kwenye kichaka cha upepelezi na haki ya kusikilizwa lakini ukweli uliouandika ni kero kubwa!

Ya kule simiyu tunayaona,
 
Inaonekana wewe sio Muumini wa Utawala wa sheria. Sio kila anayetuhumiwa kubaka, kulawiti, mauaji ni kwlei amefanya hivyo ndio maana inakutaka wewe unayemtuhumu upeleke uthibitisho yaani ushahidi clear usio na mashaka.

Lakini haki ya asili natural Justice ni kusikilizwa hivyo ni lazima kila mmoja asikilizwe kwanza.

Hicho unachotaka wewe kama unaona ni njia sahihi itumie kwenye familia yako
Ndiyo ukomo wa fikra zetu waafrika huwa hatuna mpango wa kubadilika kimfumo
 
Upelelezi unachelewa kwa sababu kadha wa kadha. Kikubwa haki itendeke ndio kazi yao
Ndiyo maana kuna watu wana nunua viwanja kwa migogoro ya makusudi kwasabu wanajua speed ya konokono kwenye maamuz
 
Ndiyo ukomo wa fikra zetu waafrika huwa hatuna mpango wa kubadilika kimfumo
nchi zote zipo hivyo mkuu sio waafrika tu huko duniani unaona Hukumu zinatoka haraka lakini ukwlei ni kwamba wao wanaanza kufanya upelelzi kwanza wakishapata kila kitu clear ndio wanakukamata na kukushtaki.

Ila upelelezi wa kesi za mauji huko unakoona kmeendelea inaweza kuchukua hata mwaka mmoja.

Ila tambua wapo mbele sana kwenye teknolojia
 
Ndiyo maana kuna watu wana nunua viwanja kwa migogoro ya makusudi kwasabu wanajua speed ya konokono kwenye maamuz
kesi za viwanja jaribu kutafuta mbili kama sample uzipitie kuna kitu utajifunza
 
Kuna baadhi ya mambo ya kiutendaji tu hayana gharama kabisa lakini yamegeuzwa kama utamaduni na sheria!

Nitatoa mifano michache inayotugharimu na inaonekana ni sawa tu.

Mfano 1.! Kuna umhimu gani kesi za ardhi kuendeshwa zaidi ya miezi 6?
Yaani kielelezo cha mgogoro ambacho ni kipande cha ardhi kipo kinaonekana, wahusika wapo, mamlaka ipo n.k Huwa inapeleleza kitu gani kesi za namna hii kwenda miaka na miaka hata 5 au 10?

Mfano 2. Kesi ya ulawiti, kesi za sampuli ya hivi ambapo aliyelawitiwa yupo, mlawiti yupo, mazingira yapo ..huwa kuna haja gani ya upelelezi kurushwa mwezi hadi mwezi hadi aliyelawitiwa anapona?
Ujue mtu aliyelawitiwa leo na ikadhibitika kwa vipimo na na mazingira, ukirudi kumpima baada ya miezi anakuwa kapona na vielelezo haviwezi kukupa majibu kwasababu hata bikria zinarudishwa siku hizi na kesi kukosa mashiko tena! (Kipi hufanya kesi hizi kusikilizwa zaidi ya mwezi?

Mfano wa 3.
Kesi ya mauaji yenye vielelezo vya wazi kabisa kwamba mtu kaua, au kachinja na pengine hata mhusika mwenyewe anasimulia kachinja, kanyonga, kachoma moto n.k Swali upelelezi wa miaka pasipo maamuzi inasababishwa na nini kama tuna waza sawasawa?

Mfano wa 4.
Kesi za talaka, wana ndoa wanasuruhishwa kifamilia inashindikana, wanasuruhushwa kidini imeshindikana, wanaenda ngazi ya ustawi imeshindikana, wanakwenda mabaraza ya wilaya imeshindika, wanafikisha kesi mahakamani ....kesi inazungushwa miaka miwili miatatu mitano kwa sababu gani ya msingi?

Mfano 5

Kesi ya milathi .........kusikilizwa muda mreefu hadi watu wengine walithi wanakufa na vielelezo vipo bayana huwa ina msingi gani kiutendaji? Kwanini tusifanye kesi kuwa organized kwa wakati?

Hivi hayo yanagharama gani kwetu kama taifa kuyabadili yazingatie upotevu wa muda?

Mfano 6.
Udhulu wa hakimu au hakimu kuhamishwa n.k kwanini mahama wasiwe na kanzu data kila kesi inaposajiliwa na watu wajisajili ili kupeana updates za mahakama? Mfano mtu anasafiri kutoka dodoma, mbeya au mwanza anafika mahakaman anaambiwa hakimu hayupo!? Sasa update kama hizi kwanini wasingejulishwa wahusika mapema kwa mfumo wa mahaka.a na wasisumbuke kuja mahakaman ili wakazalishe katika kazi zao? (Huu upotevu wa muda mahakama kuuepuka unabgharama gani?)
Choma moto picha ya mama utaona mziki wake, wiki moja kesi imeisha ushapigwa mvua zako.
 
Back
Top Bottom