Hayati Dkt. Magufuli aliligeuza suala la Wamachinga kuwa mtaji wake wa kisiasa

Hayati Dkt. Magufuli aliligeuza suala la Wamachinga kuwa mtaji wake wa kisiasa

serikali inarusha peremende masikini mnakanyagana na kusongana kuipigania,yenyewe inakaa kutazama.

mletamada huwenda huna kazi,au una kikazi cha kuunga unga,au jobless mtarajiwa,ila umefungiwa ktk kuta za unafiki kujifanya nawewe ni toplayer.
machinga ni shemeji zako,wajomba zako,baba zako wadogo,jirani zako,watoto wa mfanyakazi mwenzako nk.

unaungana na wapumbavu wengine wanaoamini ccm inaiba kura,lakini huwa inatoa hongo ili ipigiwe kura pia,na kurubuni watu kama machinga,sijui ili iweje wakati inaweza kujiibia kura tu inavyotaka ktk sanduku!!!

kamsikilize jpm alipokuwa akiongea ikulu juu ya machinga na bi samia akiwepo,ndio utajua kauli yake haikuwa na mzaha wala upuuzi ulioandika hapa.
Jibu hoja mbona unatawaliwa najazba mkorinto, kwani hayo nilio yasema wewe hauku yaona au ulikuwa masomoni nje ya nchi? Jaribu kutawala hasira epuka kuwaka Wala Kama mwendazake alivyo kuwa, pole Sana kwani utaratibu ukiwekwa ni kosa.
 
Kesho utakuja kufungua uzi wenye kichwa cha habari "Mjiajiri" ndiyo unafiki wenu
Kwani wewe bado unaishi kwa shemeji yako na midevu yote hiyo, acha kumnyonya shemeji tafuta ajira, au una subiri serikali ikuajiri. Kalagabaho MUHENGA jua diswa.
 
Jibu hoja mbona unatawaliwa najazba mkorinto, kwani hayo nilio yasema wewe hauku yaona au ulikuwa masomoni nje ya nchi? Jaribu kutawala hasira epuka kuwaka Wala Kama mwendazake alivyo kuwa, pole Sana kwani utaratibu ukiwekwa ni kosa.

hakuna hoja.
 
Ikumbukwe kuwa wakati wa utawala wake alijaribu sana kucheza na akili za watu, hasa akitumbukiza neno la Watanzania wanyonge.

Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.

Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.

Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.

Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.

Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.

HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE

Kweli kabisa... na alitangaza hilo akiwa Mwanza kuwa waachwe akidhani ni Mwanza tu, Tanzania nzima Machinga wakajaa barabarani.
 
Ikumbukwe kuwa wakati wa utawala wake alijaribu sana kucheza na akili za watu, hasa akitumbukiza neno la Watanzania wanyonge.

Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.

Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.

Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.

Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.

Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.

HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE
Watu wameamua kutulia n hayo ni matokeo ya JPM. JPM aliwafundisha watu kuwa watulivu huku njia nyingine zikiendelea kutafutwa. Wakati wa JPM hakukuwa na migomo wala fujo na ndicho sasa hivi unaita kufaulu kwa Samia katika swala la wamachinga.

Kwa uzuri tu ni kwamba: Siku zote mtu hurudisha siraha nyuma huku akijipanga. Usishangae watu wakarudi hadi ukajilaumu na hizi comment zako za kila siku unamtukama marehemu. Mzimu umekuandama hadi hunamaa. ukiamuka tu lazima uanzishe uzi.
 
Watu wameamua kutulia n hayo ni matokeo ya JPM. JPM aliwafundisha watu kuwa watulivu huku njia nyingine zikiendelea kutafutwa. Wakati wa JPM hakukuwa na migomo wala fujo na ndicho sasa hivi unaita kufaulu kwa Samia katika swala la wamachinga.

Kwa uzuri tu ni kwamba: Siku zote mtu hurudisha siraha nyuma huku akijipanga. Usishangae watu wakarudi hadi ukajilaumu na hizi comment zako za kila siku unamtukama marehemu. Mzimu umekuandama hadi hunamaa. ukiamuka tu lazima uanzishe uzi.
Wewe ni wakuonewa huruma tu. Unateseka Sana haukujua kuwa duniani wanadamu hawadumu wanapita tu. Jifunze kupitia mabadiliko.
 
Wewe ni wakuonewa huruma tu. Unateseka Sana haukujua kuwa duniani wanadamu hawadumu wanapita tu. Jifunze kupitia mabadiliko.
Huna lolote. Roho mbya tu inakutesa.

Mtu akishakufa hana lake hapa duniani. Kwa nini wewe ukiamka tu unaanza na marehemu?.

Kapimwe akili, unaugonjwa bila kujua.
 
Nguvu kazi ipi iliyopungua?
Huko vijijini vijana walikimbilia mijini kufanya umachinga, wakawaacha wazee na wamam naa watoto vijijini, ufanisi wa kilimo na shughuli nyingine zilioungua Sana. Na wengine walitelekeza familia huko vijijini
 
Ikumbukwe kuwa wakati wa utawala wake alijaribu sana kucheza na akili za watu, hasa akitumbukiza neno la Watanzania wanyonge.

Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.

Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.

Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.

Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.

Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.

HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE
Wao wenyewe walisema wao si wanasiasa. Hao akina Mbowe wamezidi.

Ni maneno ya Machinga mmoja hivi hapa Kivule Dar es salaam
 
Kwani wewe bado unaishi kwa shemeji yako na midevu yote hiyo, acha kumnyonya shemeji tafuta ajira, au una subiri serikali ikuajiri. Kalagabaho MUHENGA jua diswa.
Unaemuandikia haya unamjua?
 
Ikumbukwe kuwa wakati wa utawala wake alijaribu sana kucheza na akili za watu, hasa akitumbukiza neno la Watanzania wanyonge.

Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.

Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.

Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.

Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.

Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.

HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE
Hata hao wamachinga pia watafurahi baadae baada ta kutulia huko waliko na watapata wateja

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Huna lolote. Roho mbya tu inakutesa.

Mtu akishakufa hana lake hapa duniani. Kwa nini wewe ukiamka tu unaanza na marehemu?.

Kapimwe akili, unaugonjwa bila kujua.
JF Member sikutegemea Kama ungeteseka hivyo. Pole Sana.
 
Huko vijijini vijana walikimbilia mijini kufanya umachinga, wakawaacha wazee na wamam naa watoto vijijini, ufanisi wa kilimo na shughuli nyingine zilioungua Sana. Na wengine walitelekeza familia huko vijijini

wewe unalima mashamba kijijini kwenu!!!
 
Back
Top Bottom