Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,362
- 2,373
Kwa kauli alizozitoa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza jana kwenye kipindi cha Star TV Big Agenda bila shaka ni kweli kabisa ndani ya CCM kulikuwa na mafisadi ya kutisha na Magufuli aliyabananga vizuri na sasa yameanza kupata nafuu mbele ya rais Samia.
Ikumbukwe baada tu ya kuingia madarakani Magufuli alianzisha kampeni ya kurudisha mali za chama na kukifanya chama cha mapinduzi kujitegemea katika kila kitu. CCM ilitoka kukusanya millioni 5 kwa mwaka hadi kufikia billion 20.
Mali za CCM zilikuwa zimekaliwa na kutafunwa na vigogo akiwemo huyo Diallo.
Ikumbukwe baada tu ya kuingia madarakani Magufuli alianzisha kampeni ya kurudisha mali za chama na kukifanya chama cha mapinduzi kujitegemea katika kila kitu. CCM ilitoka kukusanya millioni 5 kwa mwaka hadi kufikia billion 20.
Mali za CCM zilikuwa zimekaliwa na kutafunwa na vigogo akiwemo huyo Diallo.