polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Ukiwa huna akili sawasawa halafu unamamlaka ya kuamrisha vyombo vya ulizi na usalama lazima uogopwe maana hatujui kesho utaamka na lipi na utaamrisha askari wafanye nini kwa nan. Hivyo kuogopwa ni kawaida kabisa.Ila kumbe Magufuli alikua anaogopwa aiseeee.....😜
Apumzike kwa amani tu yule baba