Hayati Dkt. Magufuli anapohukumiwa kwa kifo chake

Tanzania na watanzania wenyewe wamemuua jpm......
 
Enzi za utawala wake Wasiojulikana walishika chati, watu wengi walipotea, wengi waliuawa, possible ameenda ili hivyo vitendo visiendelee.
Wasiojulikana hata yeye JPM alikuwa anawasikia,hakujua wanatoka wapi,kaondoka kawaacha,Sasa hivi wanakula nchi,kigogo kasema anarudi kuungana nao.
 
Aliyemtuma Kingai na Mahita kumuua na kumtupa mozes lijenje ndio unayemtetea hapa? Aliye amuru mateso kwa makomandoo Adamoo na Lingwenya ndio unamsemea hapa? Tuache bhana tunajua kushughulika na wasaliti
Hizo zote sanaa tu. Una hakika Moses Lijenje kafa?
 
Dah! Umejibu vzr sana aisee mungu akubariki
 
Ila kuna kitu ktk maandiko umekisahau.
" MTU MWEMA AKIFA DUNIA HUOMBOLEZA LKN MUOVU AKIFA NI FURAHA KWA ULIMWENGU"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…