Hayati Dkt. Magufuli hakuisaidia Chato

Big up Daktari Mada imeshiba! Tatizo kubwa la Mwendachato lilikua kutokujua mimi, ulimbukeni na ushamba wa kiwango cha kupindukia! Aliingia madarakani bila kuwa na "roadmap" kwamba anataka kufanya nini, matokeo yake akawa anaruka ruka na kufanya vitu kwa kukurupuka! Sasa kaiacha Chato kama Gbadolite kwa Mobutu, Mapango ya popo na chatu! Chato sifuri, imezimika kama mshumaa!
 
Andiko hili fupi ni bora na lina ujumbe na funzo kubwa mno kuliko thesis nyingi za PhD candidates.

Asante sana
 
Najaribu kutafakari logic ya hiki ulichokiandika, siioni kwa kweli. Inawezekana una jambo zuri ulitaka kuliwasilisha, ila limeishia kichwani kwako. Naamini katika wasomaji wote wa andiko lako, asilimia kubwa sana hawajakuelewa
 
Najaribu kutafakari logic ya hiki ulichokiandika, siioni kwa kweli. Inawezekana una jambo zuri ulitaka kuliwasilisha, ila limeishia kichwani kwako. Naamini katika wasomaji wote wa andiko lako, asilimia kubwa sana hawajakuelewa
Kwa hiyo kutokuelewa wewe unasukumia kuwa na watu wengine hawajaelewa pia?
 
Hivi huyo Mfugale alikuwa nani kwa Magufuli manake kila kitu kimepewa jina la mfugale na Magufuli, si afadhali angeita hilo jengo Mama Jannet!
 
Huyu ni sukuma gang bila shaka.
Najaribu kutafakari logic ya hiki ulichokiandika, siioni kwa kweli. Inawezekana una jambo zuri ulitaka kuliwasilisha, ila limeishia kichwani kwako. Naamini katika wasomaji wote wa andiko lako, asilimia kubwa sana hawajakuelewa

Kwa hiyo kutokuelewa wewe unasukumia kuwa na watu wengine hawajaelewa pia?
 
SAFI KABISA ndugu kwa uchambuzi uliyokamilika. AMEN
 
Na msimlaumu mwenda zake JPM, laumuni bunge la JMT. Bunge ndilo linalopitisha makadirio na matumizi ya serikali, na kupanga na kupitisha kifungu kwa kifungu matumizi ya wizara, idara, wakala, serikali za mitaa n.k. Matumizi yoyote nje ya taratibu za bunge ni kosa, na bunge linatakiwa kuchukua hatua kwa wahusika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…