Hayati Dkt. Magufuli ndiye Rais aliyefaa kuiongoza Tanzania

Nonsense my foot, I do not have to dance your music that is my personal observations have yours and find a country to implement not again in this Country. Things should not be taken your way always, leave others to lead the Country and not rule.
Yes, you are right, you don't need to dance my music but at least you heard it ringing.
 
Kwamba nikuogope utanishitaki?
Hapa sikutishi ila nakukumbusha tu huo ndio ukweli bro. Unamlaumu asiehusika anakula akiba zako au zetu ni Serikali. Angalia Serikali inadaiwa shilingi ngapi na mifuko ya wafanyakazi nchini ni trillions hiyo ndio hoja yangu.
 
Mnakosa staha mkirushiwa mawe mnalilia Legacy 🤣
 
Kamfufue akawe raisi wa familia yako
Malaria bado haijaisha na usikute imepanda kichwani
 
Hapa sikutishi ila nakukumbusha tu huo ndio ukweli bro. Unamlaumu asiehusika anakula akiba zako au zetu ni Serikali. Angalia Serikali inadaiwa shilingi ngapi na mifuko ya wafanyakazi nchini ni trillions hiyo ndio hoja yangu.
Mi namlaumu kwa sababu alikuwa hapeleki hela yangu NSSF alikuwa akitulipa mshahara tnasain pet cash,tukienda kulalamika nssf maofisa wanakuja hapo ofisini wanampiga mkwara hakuna kinachoendelea mpaka nimeacha job niliyofanya kwa miaka 8 niliondoka sina cha nssf wala mini.
 
Wapigaji wengine wapo humu humu wamejificha na ID fake...swali langu lkni,je upigaji chini ya utawala wake ulitokomea kbsa,,au timu za wizi zilibadilika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…