Hayati Dkt. Magufuli ndiye Rais aliyefaa kuiongoza Tanzania

Hayati Dkt. Magufuli ndiye Rais aliyefaa kuiongoza Tanzania

CHADEMA na Msogagang wakiona Jina JPM hata wakiwa chooni hutoka haraka kukabiliana na Uzi huo.

Haya ukiwauliza Kama Jiwe hakufaa,Nani Sasa angefafaa basi anayejali demokrasia?
Wataseme Mbowe🤣🤣🤣🤣
Mwenyekiti wa maisha.
 
Alikuwa hafai uraisi yule labda uwaziri angekuwa bado yupo hii nchi sijui ingeenda wapi?
 
Watu wasiojulikana wakati we upo hadi leo. Mbona we hujakutana na watu wasiojulikana?
Huyo waziri wako January mwenyewe kakiri kuwa umeme ulikuwa haukatiki ili watu wasifukuzwe, na kila mtu anakuambia hali haikuwa hivi ne walishasahau habsri hizo, we unasema ulikuwa unakatika tu.

Kuhusu jengo la tanesco fuatilia pia historia yake alipokuwa waziri..pia nikukumbushe pembeni ya tanesco kulikuwa na ofisi za tanroads ambazo aliamuru zivunjwe kwa kuwa zilikuwa kwenye mpaka wa barabara.

Hoja dhaifu sana:-

1. Kila mtu ana haki ya kuishi ,Mchungaji akipoteza kondoo mmoja atawaacha wale 99 na kwenda kumtafuta mmoja ,hii ina maana gani? Roho moja iliyopotea ina thamani kubwa kuzidi hata hao 99 walioko hai maana kila mtu ana haki ya kuishi ,Enzi za Jiwe roho nyingi zilipotea kwenye uso wa dunia na watu wasiojulikana ,wapi Kanguye? Wapi Gwanda? Wapi Rwajabe? Wapi Ben saa8? Nani aliyemmininia risasi 38 Lissu?

2.Sasa unamtolea mfano january? january anakaa Prime area ambapo hawapati madhira ya umeme kukatika maana wakubwa wengi wanakaa huko,umeme ulikuwa unakatika sana hata enzi za jiwe! Umeme haupaswi kukatika unless kuna fault ,sasa unataka kuniambia kipindi cha JIWE kulikuwa hakuna Fault?

3.Majengo mengi yapo kwenye hifadhi ya barabara hata ikulu ,NBC HQ ,New Africa ,Southern Sun ,Holiday Inn ,Aghakhan ,Mwalim House,PPF Tower ,Peugeot House ,Barclay HQ mbona hayabomolewi?
 
Kinachoniuma roho wahindi wameanza kuibuka tena aloo,jamaa aliwapiga pin kwa kweli.

Sasa hivi wataanza tena kutuibia na kuweka mapesa wanayovuna kwenye acc zao nje ya nchi,sijui kama nssf watatupelekea tena hela zetu maweee twafwaa.
Mpaka unaibiwa wewe unakuwa wapi?. Mentality za uvivu na ulalamishi.
 
Magufuri kashakufa homeboy hebu tupe mda na sisi tupumzike kidogo.Kwani Magufuri kaanza siasa mda gani na kabla ya kuwa rais alikuwa katika siasa kipindi gani? Mtu kahudumu kwenye siasa kwa miaka zaidi ya 20, kwahiyo unataka kusema kipindi hicho matatizo haya uliyotaja hayakuepo?ukweli ni kwamba yalikuwepo na hakuna chochote alichokuwa akifanya zaidi tu aliweza kusimamia ujenzi wa barabara mbovu basi.

Kingine matatizo ya wananchi anayetatua ni rais?kama ndio,basi kuna swali jingine la kizushi.Kwani rais ndio anayekata maji na umeme?The fact is,the president does lead the country.They(he/she) are not there to fix any mans' ignorance.Citizens need to fix their own problems.Kwahiyo mambo ya sijui umeme umekatika wananchi ndio inabidi kuwajibika kwa maana ndio uchaguzi walioufanya
 
Tunaenda pata magufuli mpya 2025. Wajibu wa mama nikutufikisha 2025 tuweze mpata magufuli mpya. Wapo wachumia tumbo utawasikia 'mama hadi 2030' wakati mama mwenyewe kashasema viatu vya magufuli havimtoshi. Mama ni mzalendo analijua hili. Wajibu wa wazalendo wote ni kumkinga mama na vibaraka wa ubeberu na kuhakikisha anazungukwa na watu wazalendo wenye weledi.
Mama tunae hadi 2030.
 
Acha Wenge, Mbona hausemi siku hizi watu wasiojulikana hawapo?

Enzi za Magu umeme ulikuwa unakatika tu labda wewe ulikuwa unakaa line ya ikulu.

Jengo la Taneco alibomoa ili iweje? Mbona hausemi alikuwa na Roho Mbaya?
Nenda Lindi wapo wasiojulikana
 
Kwani wanavyoiba nyie mnakuwa wapi?,
Kusema wahindi wanatuibia ni akili za kimaskini. Wanayo nidhamu ya utendaji kazi. Mswahili akipata pesa anakwenda disco na kuanza kurusha pesa hewani kama Diamond.

Wakati huo anao ndugu wengi tu wamezungukwa na umaskini wa kutupwa.
 
Kusema wahindi wanatuibia ni akili za kimaskini. Wanayo nidhamu ya utendaji kazi. Mswahili akipata pesa anakwenda disco na kuanza kurusha pesa hewani kama Diamond.

Wakati huo anao ndugu wengi tu wamezungukwa na umaskini wa kutupwa.
Sijakuelewa gabachori,mi nazungumzia ukwepaji Wa kodi Wa wahindi, kwani huko disco unaloendaga hukutanagi na wahindi wakijirusha?.
 
Sijakuelewa gabachori,mi nazungumzia ukwepaji Wa kodi Wa wahindi, kwani huko disco unaloendaga hukutanagi na wahindi wakijirusha?.
Mpaka wakwepe kodi maana yake ujinga unaanzia kwetu sisi waswahili. Jiulize na utafakari kwa kina.
 
Mpaka wakwepe kodi maana yake ujinga unaanzia kwetu sisi waswahili. Jiulize na utafakari kwa kina.
Usituonee sisi waswahili boss hayo malalamiko unayapeleka kwenye idara ya sirikali ukamshinda gabachori kesu zaidi ya wewe kugeuziwa kipande.

Laumu serikali na mamlaka zake.
 
Habari wanaJamiiForums

Natumaini ni wazima wa afya binafsi nilikuwa naumwa Sana angalau sasa hiv nina unafuu nilikuwa nina Malaria tuombeane nipone kabisa.Tuje kwenye mada husika hapo juu unajua nimekuwa mfuatiaji kiasi fulani wa jukwaa Hili nimegundua kuwa members wa jukwaa hili hawana tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga au Teams zile ambazo zipo mitandaoni sijui Team diamond,Team kiba n.k tunachukulia siasa kama ushabiki badala ya kuchukulia kama maisha.

Kupitia siasa nchi ndio inajengwa watu wamekuwa wakiabudu viongozi as if ni Mungu wakiwasapoti hata kama wanakuosea hapo unajiuliza hawa wanatofauti ipi na Team diamond au Team kiba? Wanaushabiki wa vyama as if hivyo vyama vinawasaidia kuondoa umasikini wa maisha yao wamefanywa mandondocha na wanajiona ok yaani Unaweza kukuta mshabiki wa Chadema anamshambulia shabiki wa CCM analipwa kutetea ujinga lakini na yeye mwenyewe anafanya kile kile anachofanya mwenzake.

Nije kwenye lengo kuu la uzi wangu kiukweli kutokana na hii nchi ilivyo mtu kama Magufuli ndio mtu pekee ambaye alituonesha uelekeo mzuri wa kutupeleka mbali. Hii nchi kuna baadhi ya mnatatizo yanazalishwa na watu kwa lengo lakupiga pesa na kama hakuna strong President ambaye ni mzuri kwenye ufuatiliaji kupigwa kuzidi kutaendelea, Mfano mzuri tangu aingie Magufuli madarakani hakujawi kuwa na shida ya maji kama ilivyo sasa hiv huku kwetu Kimara hii inaenda siku ya 5 maji hayatoki Waziri husika uko alipo anafanya Nini wanawanchi wanateseka jitu limekaa linakula kiyoyozi watu wa aina hii wakitumbuliwa baadhi ya watu especially wenye itikadi ya vyama wanasema Magufuli ana roho mbaya wakati hata yanatokea Mama samia anazurura nchi za nje.

Umeme sasa umekuwa unatikatika tofauti na kipindi Cha Magufuli kama unakumbukumbu vizuri Magufuli kama ajaingia madarakani wakati wa kampeni aliwapiga beat Tanesco na kweli tangu aingie ukusikia hata ile kasumba ya maji ya kidatu yamepungua.

Magufuli kakuta nchi ambayo nchi jirani zinachukua rasimali zetu ovyo ovyo Mara unasikia twigs kapandishwa ndege n.k lakini mwamba tangu aingie kuna wachina wameukumiwa vifungo virefu, mambo ya kutoroshwa mali asili kazibiti.

Kiufupi hii nchi Magufuli aliichukua likiwa imeoza na ndio maana akawa anajenga misingi we jiulize mtu kafariki muda mrefu still anapokea mshahara ndio maana akaanzisha kampeni ya kushafisha mafanyakazi hewa.

Kuna miradi Mingi hapo awali inachukua muda mrefu kukamilika ingawa haikustahili ifike huko ni kwasababu viongozi wetu hawakuwa wasimamizi tofauti na Magufuli ndio maana umeona chini yake flyover imekamilika kwa wakati madaraja mengi yamekamilika kwa wakati kwasababu hakiona mkandarasi haendi sambamba na kasi ya mradi anamfukuza hii imesaidia sana.

NB: Tanzania ina muhitaji mtu kama Magufuli ili ipige maendeleo tofauti na hapo nchi itakuwa unarudi nyuma kwa mambo mengi sana.
Kule Afrika kusini makaburu wamefanya makubwa kuliko hayo lakini kwa ukatili wao walikataliwa sio tu na wananchi wa Afrika kusini bali dunia nzima kwahiyo hata hapa kwetu mtu mwenye chembechembe za ukaburu hatumtaki hata angefanya maendeleo gani.
Lakini kwa matatizo ya sasa ya maji kwa Dar na Pwani ni kutokana kupungua kwa kina cha maji kwenye mto Ruvu ambao ndio tegemeo la Dawasa katika upatikanaji wa maji wanayosambaza kwa wananchi wanaowahudumia je sasa unataka wakakojoe huko kwenye mto ili kina kiongezeke? Na swala la umeme waziri tayari ametoa ufafanuzi kwamba kwa muda mrefu kutokana na nidhamu ya woga TANESCO hawajakarabati miundombinu yao na hiyo sasa ndio inasababisha umeme kukatika kwa sababu imeanza kuchoka hivyo nao hivi sasa wameanza kukarabati miundombinu yao ya kuzalisha na kusambaza umeme na bila shaka kazi ikikamilika hali ya umeme itarudi kuwa ya kawaida.
 
Tutolee ukichaa wako hapa. Mungu kamchukua kwasababu zake. Rais wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania.
 
Habari wanaJamiiForums

Natumaini ni wazima wa afya binafsi nilikuwa naumwa Sana angalau sasa hiv nina unafuu nilikuwa nina Malaria tuombeane nipone kabisa.Tuje kwenye mada husika hapo juu unajua nimekuwa mfuatiaji kiasi fulani wa jukwaa Hili nimegundua kuwa members wa jukwaa hili hawana tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga au Teams zile ambazo zipo mitandaoni sijui Team diamond,Team kiba n.k tunachukulia siasa kama ushabiki badala ya kuchukulia kama maisha.

Kupitia siasa nchi ndio inajengwa watu wamekuwa wakiabudu viongozi as if ni Mungu wakiwasapoti hata kama wanakuosea hapo unajiuliza hawa wanatofauti ipi na Team diamond au Team kiba? Wanaushabiki wa vyama as if hivyo vyama vinawasaidia kuondoa umasikini wa maisha yao wamefanywa mandondocha na wanajiona ok yaani Unaweza kukuta mshabiki wa Chadema anamshambulia shabiki wa CCM analipwa kutetea ujinga lakini na yeye mwenyewe anafanya kile kile anachofanya mwenzake.

Nije kwenye lengo kuu la uzi wangu kiukweli kutokana na hii nchi ilivyo mtu kama Magufuli ndio mtu pekee ambaye alituonesha uelekeo mzuri wa kutupeleka mbali. Hii nchi kuna baadhi ya mnatatizo yanazalishwa na watu kwa lengo lakupiga pesa na kama hakuna strong President ambaye ni mzuri kwenye ufuatiliaji kupigwa kuzidi kutaendelea, Mfano mzuri tangu aingie Magufuli madarakani hakujawi kuwa na shida ya maji kama ilivyo sasa hiv huku kwetu Kimara hii inaenda siku ya 5 maji hayatoki Waziri husika uko alipo anafanya Nini wanawanchi wanateseka jitu limekaa linakula kiyoyozi watu wa aina hii wakitumbuliwa baadhi ya watu especially wenye itikadi ya vyama wanasema Magufuli ana roho mbaya wakati hata yanatokea Mama samia anazurura nchi za nje.

Umeme sasa umekuwa unatikatika tofauti na kipindi Cha Magufuli kama unakumbukumbu vizuri Magufuli kama ajaingia madarakani wakati wa kampeni aliwapiga beat Tanesco na kweli tangu aingie ukusikia hata ile kasumba ya maji ya kidatu yamepungua.

Magufuli kakuta nchi ambayo nchi jirani zinachukua rasimali zetu ovyo ovyo Mara unasikia twigs kapandishwa ndege n.k lakini mwamba tangu aingie kuna wachina wameukumiwa vifungo virefu, mambo ya kutoroshwa mali asili kazibiti.

Kiufupi hii nchi Magufuli aliichukua likiwa imeoza na ndio maana akawa anajenga misingi we jiulize mtu kafariki muda mrefu still anapokea mshahara ndio maana akaanzisha kampeni ya kushafisha mafanyakazi hewa.

Kuna miradi Mingi hapo awali inachukua muda mrefu kukamilika ingawa haikustahili ifike huko ni kwasababu viongozi wetu hawakuwa wasimamizi tofauti na Magufuli ndio maana umeona chini yake flyover imekamilika kwa wakati madaraja mengi yamekamilika kwa wakati kwasababu hakiona mkandarasi haendi sambamba na kasi ya mradi anamfukuza hii imesaidia sana.

NB: Tanzania ina muhitaji mtu kama Magufuli ili ipige maendeleo tofauti na hapo nchi itakuwa unarudi nyuma kwa mambo mengi sana.
endelea na ndoto
 
Habari wanaJamiiForums

Natumaini ni wazima wa afya binafsi nilikuwa naumwa Sana angalau sasa hiv nina unafuu nilikuwa nina Malaria tuombeane nipone kabisa.Tuje kwenye mada husika hapo juu unajua nimekuwa mfuatiaji kiasi fulani wa jukwaa Hili nimegundua kuwa members wa jukwaa hili hawana tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga au Teams zile ambazo zipo mitandaoni sijui Team diamond,Team kiba n.k tunachukulia siasa kama ushabiki badala ya kuchukulia kama maisha.

Kupitia siasa nchi ndio inajengwa watu wamekuwa wakiabudu viongozi as if ni Mungu wakiwasapoti hata kama wanakuosea hapo unajiuliza hawa wanatofauti ipi na Team diamond au Team kiba? Wanaushabiki wa vyama as if hivyo vyama vinawasaidia kuondoa umasikini wa maisha yao wamefanywa mandondocha na wanajiona ok yaani Unaweza kukuta mshabiki wa Chadema anamshambulia shabiki wa CCM analipwa kutetea ujinga lakini na yeye mwenyewe anafanya kile kile anachofanya mwenzake.

Nije .

NB: Tanzania ina muhitaji mtu kama Magufuli ili ipige maendeleo tofauti na hapo nchi itakuwa unarudi nyuma kwa mambo mengi sana.
Kama kuna watu wanatufanya Tanzania tudharauliwe ni pamoja na wewe Hziyech22. Utawala wa Magufuli ulikuwa ni utawala usiozingatia utawala bora, utawala wa sheria, kubana uhuru wa kujieleza na uuaji kupitia kundi la WASIOJULIKANA.

Magufuli alikuwa MWONGO sana na ndiyo maana akawapata na kuwashawishi watu kama wewe mtoa mada ambao hamna vyanzo vingine vya taarifa zaidi ya TBC1.

HATUTAKI kuingozwa na KICHAA tena.
 
Habari wanaJamiiForums

Natumaini ni wazima wa afya binafsi nilikuwa naumwa Sana angalau sasa hiv nina unafuu nilikuwa nina Malaria tuombeane nipone kabisa.Tuje kwenye mada husika hapo juu unajua nimekuwa mfuatiaji kiasi fulani wa jukwaa Hili nimegundua kuwa members wa jukwaa hili hawana tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga au Teams zile ambazo zipo mitandaoni sijui Team diamond,Team kiba n.k tunachukulia siasa kama ushabiki badala ya kuchukulia kama maisha.

Kupitia siasa nchi ndio inajengwa watu wamekuwa wakiabudu viongozi as if ni Mungu wakiwasapoti hata kama wanakuosea hapo unajiuliza hawa wanatofauti ipi na Team diamond au Team kiba? Wanaushabiki wa vyama as if hivyo vyama vinawasaidia kuondoa umasikini wa maisha yao wamefanywa mandondocha na wanajiona ok yaani Unaweza kukuta mshabiki wa Chadema anamshambulia shabiki wa CCM analipwa kutetea ujinga lakini na yeye mwenyewe anafanya kile kile anachofanya mwenzake.

Nije kwenye lengo kuu la uzi wangu kiukweli kutokana na hii nchi ilivyo mtu kama Magufuli ndio mtu pekee ambaye alituonesha uelekeo mzuri wa kutupeleka mbali. Hii nchi kuna baadhi ya mnatatizo yanazalishwa na watu kwa lengo lakupiga pesa na kama hakuna strong President ambaye ni mzuri kwenye ufuatiliaji kupigwa kuzidi kutaendelea, Mfano mzuri tangu aingie Magufuli madarakani hakujawi kuwa na shida ya maji kama ilivyo sasa hiv huku kwetu Kimara hii inaenda siku ya 5 maji hayatoki Waziri husika uko alipo anafanya Nini wanawanchi wanateseka jitu limekaa linakula kiyoyozi watu wa aina hii wakitumbuliwa baadhi ya watu especially wenye itikadi ya vyama wanasema Magufuli ana roho mbaya wakati hata yanatokea Mama samia anazurura nchi za nje.

Umeme sasa umekuwa unatikatika tofauti na kipindi Cha Magufuli kama unakumbukumbu vizuri Magufuli kama ajaingia madarakani wakati wa kampeni aliwapiga beat Tanesco na kweli tangu aingie ukusikia hata ile kasumba ya maji ya kidatu yamepungua.

Magufuli kakuta nchi ambayo nchi jirani zinachukua rasimali zetu ovyo ovyo Mara unasikia twigs kapandishwa ndege n.k lakini mwamba tangu aingie kuna wachina wameukumiwa vifungo virefu, mambo ya kutoroshwa mali asili kazibiti.

Kiufupi hii nchi Magufuli aliichukua likiwa imeoza na ndio maana akawa anajenga misingi we jiulize mtu kafariki muda mrefu still anapokea mshahara ndio maana akaanzisha kampeni ya kushafisha mafanyakazi hewa.

Kuna miradi Mingi hapo awali inachukua muda mrefu kukamilika ingawa haikustahili ifike huko ni kwasababu viongozi wetu hawakuwa wasimamizi tofauti na Magufuli ndio maana umeona chini yake flyover imekamilika kwa wakati madaraja mengi yamekamilika kwa wakati kwasababu hakiona mkandarasi haendi sambamba na kasi ya mradi anamfukuza hii imesaidia sana.

NB: Tanzania ina muhitaji mtu kama Magufuli ili ipige maendeleo tofauti na hapo nchi itakuwa unarudi nyuma kwa mambo mengi sana.
Tulia basi mkuu. Magufuli si yupo huko aliko na huko kuna Watanzania wametangulia mbele ya Haki? Basi atakuwa anawaongoza huko...!
 
Back
Top Bottom