Hayati Magufuli alijua haya hata kabla ya ujio wa DP World

Hayati Magufuli alijua haya hata kabla ya ujio wa DP World

Huo ndio ukweli halisi na kama hamuamini ndugu zangu au members wa humu JF.

Msikilizeni kwenye hiyo clip alichokiingea live.

Nimeshangaa sana kuona Media streaming zote nchini kwamba hawajawahi kuona umuhimu wa hii video kwenye hili suala la Mkataba baina ya serikali ya JMT na UAE.

Akiwa binadamu ni kawaida kuwa na pande mbili.

Lakini pia kwenye ukweli tuwe wakweli wa nafsi zetu.

View attachment 2730950
Duu kwa kweli...hili swala moto
 
Huyu jamaa kwanini asifufuke?
Huo ndio ukweli halisi na kama hamuamini ndugu zangu au members wa humu JF.

Msikilizeni kwenye hiyo clip alichokiingea live.

Nimeshangaa sana kuona Media streaming zote nchini kwamba hawajawahi kuona umuhimu wa hii video kwenye hili suala la Mkataba baina ya serikali ya JMT na UAE.

Akiwa binadamu ni kawaida kuwa na pande mbili.

Lakini pia kwenye ukweli tuwe wakweli wa nafsi zetu.

View attachment 2730950

Huo ndio ukweli halisi na kama hamuamini ndugu zangu au members wa humu JF.

Msikilizeni kwenye hiyo clip alichokiingea live.

Nimeshangaa sana kuona Media streaming zote nchini kwamba hawajawahi kuona umuhimu wa hii video kwenye hili suala la Mkataba baina ya serikali ya JMT na UAE.

Akiwa binadamu ni kawaida kuwa na pande mbili.

Lakini pia kwenye ukweli tuwe wakweli wa nafsi zetu.

View attachment 2730950
 
Ukiitwa kuthibitisha hili mbele ya vyombo vya Dola utaweza? Au ndiyo ushujaa wa kucomment nyuma ya fake ID?
Huwa nawashangaa sana watu wa coment za aina hii.
Ila mimi huwa nawachukulia kuwa ni wahanga wa vyeti feki.
 
Back
Top Bottom