Hayati Magufuli alikuwa kiongozi muovu katika kundi la waovu, na alikuwa kiongozi mwema na mwenye huruma katika kundi la watu wema

Hayati Magufuli alikuwa kiongozi muovu katika kundi la waovu, na alikuwa kiongozi mwema na mwenye huruma katika kundi la watu wema

yvegenc prymacov

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
1,530
Reaction score
1,961
Salute,

Aliyekuwa rais wa Tanzania, awamu ya tano, Hayati John Pombe Magufuli, alikuwa na sura kuu mbili:

1. Ndie kiongozi anayetuhumiwa kwa udicteta, ukatili, kunyang'anya watu pesa, ufisadi na kuzima democrasia, lkn kundi hili linalo mtuhumu ni kundi ambalo alilishughurikia kiukamilifu na kwa nguvu kubwa, kwenye kundi hili utawakuta mafisadi, wahujumu uchumi, wakwepa kodi, vyeti feki, na wazembe kazini. Hili ndio kundi la watu waovu linalomwona jpm ni mwovu, na kamwe halitatokea limpende, ni mbwehe walionyang'anywa mwana kondoo wakimtafuna, ni kama mainzi kwenye mzoga.

2. Kuna kundi la machinga, wakulima wadogowadogo, bodaboda, mama lishe, wachimbaji wadowadogo, wafugaji, na raia woote wanaotii sheria, walimwona JPM ni kiongozi mwema na zawadi kutoka kwa Mungu, aliletwa na mungu ili kuja kuondoa kero zao, hawa mpk kesho huwambii kitu kwa JPM, nao wanaitwa sukuma gang.

3. Pia kuna kundi la watanzania wazalendo, wenye uchungu wa kweli na hii nchi, waliokuwa wanachukia wakiona nchi inavyotafunwa na kundi la mbweha toka CCM, humu utawakuta viongozi wa dini, Wakristu na Waislamu, wasomi, wanasiasa toka upinzani, wanasiasa toka CCM, (ambao ni Wazalendo) wakulima na wafanyakazi, kundi hili linamwona magufuli ndio alikuwa mwarobai wa matatizo ya nchi, hawa ndio mpk mda huu wanamtetea JPM na kumwona kama mwokozi wa nchi hii, hili ndio kundi linaloitwa sukuma gang, japo si kweli kuwa hawa watu ni Wasukuma.

MAGUFULI NI MWOVU KWA WATU WAOVU, NA NI MWEMA KWA WATU WEMA
 
Haya ndio Maneno ya Mhe.Hayati na JPM.

"Nataka niwaambie Ndugu zangu SIKU MOJA MTANIKUMBUKA na Mimi ninajua MTANIKUMBUKA kwa MAZURI si kwa MABAYA kwa sababu nimeyatoa sadaka maisha yangu kwa ajili ya Watanzania masikini. Kwa hiyo tusimame Pamoja,tusibaguane kwa vyama tusibaguane kwa ajili ya dini zetu, tusibaguane ata kwa Makabila yetu SISI TUIJENGE TANZANIA".

Kwenye hii DUNIA Kuna watu watao kupenda na watakao kuchukia.
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika. Imeisha hiyo.
 
Tusibaguane wakati mbaguzi wa kwanza alikuwa yeye,"Nikupe gari,nikulipe mshahara halafu nisikie mpinzani ameshinda !!!utakuwa huna kazi hapo hapo.""Wapinzani walichelewesha sana maendeleo" hizo ni kauli za kujenga umoja au kubomoa umoja??
 
Tusibaguane wakati mbaguzi wa kwanza alikuwa yeye,"Nikupe gari,nikulipe mshahara halafu nisikie mpinzani ameshinda !!!utakuwa huna kazi hapo hapo.""Wapinzani walichelewesha sana maendeleo" hizo ni kauli za kujenga umoja au kubomoa umoja??
Wapinzani nisehemu ya tatizo kwenye maendeleo yetu.
Magu hakutaka ujingaujinga wa kuleana na kupeana viposho posho.
Alitaka kila sent yetu itumike kusuport maendeleo ndio maana hakua na muda wa kupoteza kubembeleza bembeleza wahuni.

Walimchukia kwasababu aliwabana na kuwaumbua mchana kweupe.

Let's be serious kidogo.
 
Wapinzani nisehemu ya tatizo kwenye maendeleo yetu.
Magu hakutaka ujingaujinga wa kuleana na kupeana viposho posho.
Alitaka kila sent yetu itumike kusuport maendeleo ndio maana hakua na muda wa kupoteza kubembeleza bembeleza wahuni.

Walimchukia kwasababu aliwabana na kuwaumbua mchana kweupe.

Let's be serious kidogo.
Hakika
 
Ili kumsafisha Magufuli itabidi wale vibaka waliofanya uovu wakamatwe washitakiwe na tumtenge kabisa na magufuli.
 
Dah.. Natamani niwe kama Magufuli.

Nikifa kila siku watu waniandike mimi. Miaka miwili sasa jamaa alikufa ila kama anaishi
 
Salute,

Aliyekuwa rais wa Tanzania, awamu ya tano, Hayati John Pombe Magufuli, alikuwa na sura kuu mbili:

1. Ndie kiongozi anayetuhumiwa kwa udicteta, ukatili, kunyang'anya watu pesa, ufisadi na kuzima democrasia, lkn kundi hili linalo mtuhumu ni kundi ambalo alilishughurikia kiukamilifu na kwa nguvu kubwa, kwenye kundi hili utawakuta mafisadi, wahujumu uchumi, wakwepa kodi, vyeti feki, na wazembe kazini. Hili ndio kundi la watu waovu linalomwona jpm ni mwovu, na kamwe halitatokea limpende, ni mbwehe walionyang'anywa mwana kondoo wakimtafuna, ni kama mainzi kwenye mzoga.

2. Kuna kundi la machinga, wakulima wadogowadogo, bodaboda, mama lishe, wachimbaji wadowadogo, wafugaji, na raia woote wanaotii sheria, walimwona JPM ni kiongozi mwema na zawadi kutoka kwa Mungu, aliletwa na mungu ili kuja kuondoa kero zao, hawa mpk kesho huwambii kitu kwa JPM, nao wanaitwa sukuma gang.

3. Pia kuna kundi la watanzania wazalendo, wenye uchungu wa kweli na hii nchi, waliokuwa wanachukia wakiona nchi inavyotafunwa na kundi la mbweha toka CCM, humu utawakuta viongozi wa dini, Wakristu na Waislamu, wasomi, wanasiasa toka upinzani, wanasiasa toka CCM, (ambao ni Wazalendo) wakulima na wafanyakazi, kundi hili linamwona magufuli ndio alikuwa mwarobai wa matatizo ya nchi, hawa ndio mpk mda huu wanamtetea JPM na kumwona kama mwokozi wa nchi hii, hili ndio kundi linaloitwa sukuma gang, japo si kweli kuwa hawa watu ni Wasukuma.

MAGUFULI NI MWOVU KWA WATU WAOVU, NA NI MWEMA KWA WATU WEMA
Haukuanza wewe,walianza wakubwa wako kumchafua!
Sisi tutatembea na ushahidi.
[emoji116]
FB_IMG_1676969937618.jpg
Screenshot_20230221-115953_Facebook.jpg


Tutaanzia Pale mnapoishia!
 
Wapinzani nisehemu ya tatizo kwenye maendeleo yetu.
Magu hakutaka ujingaujinga wa kuleana na kupeana viposho posho...
Sasa hivi hawapo je uchumi wa nchi yenu umeimarika?Je maisha ya mitaani yamekuwa poa,pesa zinapatikana kirahisi, umeme upo wa kutosha,maji salama kila kona yapo,je ajira kwa vijana wetu zipo,miradi inakamilika wa wakati?
 
Alikuwa mwovu okay! Sasa maraisi wite walimpa wizara mbalimbali mpaka wapinzani mkawa mnampigia makofi bungeni..... sasa huo uovu mvona hamkuw hamsemi?

Baada kupata donge nono kwa maza mnaamua kumrushia mawe mtu ambaye hayupo duniani... aisee ni ngumu kumfuta kwenye kumbukumbu za watanzania mana mnavomsema ishaonekana nyie ni matapeli na msiopenda mema bali muishi kwa kupewa keki ya taufa!

Tunajua ile kumsema tyu vibaya Magufuli hela ishaingiachuko!
 
Back
Top Bottom