Hayati Magufuli alikuwa kiongozi muovu katika kundi la waovu, na alikuwa kiongozi mwema na mwenye huruma katika kundi la watu wema

Hayati Magufuli alikuwa kiongozi muovu katika kundi la waovu, na alikuwa kiongozi mwema na mwenye huruma katika kundi la watu wema

Serikali ingekuwa na mpango wa kumuua lissu isingefanya huo upumbavu wa kijinga,
Linapotokea tukio kama la Lissu kushambuliwa, ni wajibu wa serikali kutoa majibu wahusika ni nani, na wawajibishwe. Je, kwenye tukio lile kuna uchunguzi iliyofanywa? Je serikali haijui nani alitoa CCTV camera iliyokuwa eneo la tukio? Je serikali haijui kwanini siku ya tukio askari ambao wanapaswa kulinda eneo lile 24/7 hawakuwepo?
 
Amua uwe jambazi haramia kupindukia, unaandikwa mara nyingi na wakati wote.

Wewe unamfahamu aliyekuwa kiongozi mkuu wa Ujerumani kabla na baada ya Hitler. Karibia kila mtu mwenye uelewa kiasi anamfahamu Hitler.

Ukitaka ukumbukwe sana, uandikwe sana, na usemwe sana, uwe jambazi kupindukia.Hitler, Musollin, Stallin, Pinochet, Botha, Amin, Bokasa, Nguema, Mobutu, hawa watakumbukwa daima ndani na nje ya mataifa yao.
Aaaah... vyovyote iwavyo.

JPM amewakamata sana sana tu. Kila siku mnapambana nae lakini kwa Raia wa nchii hamuwezi kumshinda wala kufuta Legacy yake.

By the way, umevikwa historia mbaya ya Hitler na wapinzani wake wakati kuna mazuri usiyo yajua.
Siku ukiamua kuujua ukweli wa watu hao utajichukia mwenywewe.
 
Wapinzani nisehemu ya tatizo kwenye maendeleo yetu.
Magu hakutaka ujingaujinga wa kuleana na kupeana viposho posho.
Alitaka kila sent yetu itumike kusuport maendeleo ndio maana hakua na muda wa kupoteza kubembeleza bembeleza wahuni.

Walimchukia kwasababu aliwabana na kuwaumbua mchana kweupe.

Let's be serious kidogo.
Serikali mnayo nyie toka uhuru bajet niya kwenu wenyewe hao wapinzani wanakuwaje tatizo.mnashindwa kusimamia nchi mnasingizia wapinzani.Huo userious wako uko wapi kama unataka kujificha kwenye kichaka cha wengine kuficha madhaifu yako.bure kabisa.
 
Back
Top Bottom