Amua uwe jambazi haramia kupindukia, unaandikwa mara nyingi na wakati wote.
Wewe unamfahamu aliyekuwa kiongozi mkuu wa Ujerumani kabla na baada ya Hitler. Karibia kila mtu mwenye uelewa kiasi anamfahamu Hitler.
Ukitaka ukumbukwe sana, uandikwe sana, na usemwe sana, uwe jambazi kupindukia.Hitler, Musollin, Stallin, Pinochet, Botha, Amin, Bokasa, Nguema, Mobutu, hawa watakumbukwa daima ndani na nje ya mataifa yao.