Hayati Magufuli alikuwa mtawala na siyo kiongozi

uzuri ni kwamba magufuli alichowafanya hamtakuja kusahau.
 
 
Kama tuna kumbukumb za kina farao, herode, hitle, amin na mambo yote walioyafanya ulimwenguni na Tanzania. Hatuwez kusahau kumbukumb za mambo alifanya JPM. Kusema kwamba asisemwe kwa kigezo kua ameshakufa ni utoto kabisa. Mtu aliefanya mambo mabaya zaid na aliefanya mazur zaid wote watakumbukwa hata wakishakufa. Historia haifutiki hata isipoandikwa.
 
Lazima muuaji azunhumziwe, muuaji, ibilisi shetani Jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…