mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Kwema ndugu? Kutokana na kuenea kwa baadhi ya maneno kwamba bwana yule alikuwa mshamba, katili n.k, nikaona acha nitafute ukweli juu ya haya.
Nimepitia documentaries nyingi, hapa JF na nje ya JF. Ila kuna moja imeniacha hoi. Nayo ni ya mmoja wa members humu, akidai kuwa amewahi ku interact na baadhi ya viongozi wakuu wa nchi hii, 'specifically' JK and JPM.
Nitanakili maelezo yake hapo chini:
"Kikwete mtoto wa mjini nusura aingie ikulu 1995 kama sio kuwa close na EL.japokuwa EL ndio alikuwa sponsor wake, baada ya kuukosa urais, kwa miaka kumi alijipanga kisawasawa ikiwemo kuishi low profile ili kucheza na akili za watanzania. Tulisoma shule za kayumba na watoto wake, niliwahi kupanga foleni na JK kwenye ATM za CRDB Holland House posta, niliwahi kucheza draft na JK mitaa ya Shibam nagomeni, niliwahi kunywa supu ba JK Hugo House Kinondoni, yote ni kutudanganya kuwa ni mwenzetu. Timu yake ya Urais yaani wanamrandao wangeamya hata urais wa dunia wangeuchukua. JPM mnamchukulia poa ila hakuna mtu mjanja kama yeye, kila alichokifanya au kukitamka kwa miaka 20 kabla hajawa Rais ilikuwa ni kampeni tosha, ipo siku nitaweka visa vyake jinsi alivyojipanga, JPM ni jogoo la shamba lililowika mjini"
Kwa mchango wangu juu ya hili, nachelea kusema, kwa dalili zinazoonekana na zilizoonekana, huenda ikawa kweli bwana yule alikuwa ni jogoo la shamba lililowika mjini.
Ilikuwaje akamu outsmart 'mtoto wa mjini' na kisha jina lake kupitishwa mkutano mkuu? Ilikuwaje akapewa uwaziri ilhali alijulikana kwa kuwa 'kichaa' kama wengi wanavyodai?
Haya na mengineyo yanalipa nguvu shauri la bwana yule kuwa smart.
Credits to mdukuzi
Nimepitia documentaries nyingi, hapa JF na nje ya JF. Ila kuna moja imeniacha hoi. Nayo ni ya mmoja wa members humu, akidai kuwa amewahi ku interact na baadhi ya viongozi wakuu wa nchi hii, 'specifically' JK and JPM.
Nitanakili maelezo yake hapo chini:
"Kikwete mtoto wa mjini nusura aingie ikulu 1995 kama sio kuwa close na EL.japokuwa EL ndio alikuwa sponsor wake, baada ya kuukosa urais, kwa miaka kumi alijipanga kisawasawa ikiwemo kuishi low profile ili kucheza na akili za watanzania. Tulisoma shule za kayumba na watoto wake, niliwahi kupanga foleni na JK kwenye ATM za CRDB Holland House posta, niliwahi kucheza draft na JK mitaa ya Shibam nagomeni, niliwahi kunywa supu ba JK Hugo House Kinondoni, yote ni kutudanganya kuwa ni mwenzetu. Timu yake ya Urais yaani wanamrandao wangeamya hata urais wa dunia wangeuchukua. JPM mnamchukulia poa ila hakuna mtu mjanja kama yeye, kila alichokifanya au kukitamka kwa miaka 20 kabla hajawa Rais ilikuwa ni kampeni tosha, ipo siku nitaweka visa vyake jinsi alivyojipanga, JPM ni jogoo la shamba lililowika mjini"
Kwa mchango wangu juu ya hili, nachelea kusema, kwa dalili zinazoonekana na zilizoonekana, huenda ikawa kweli bwana yule alikuwa ni jogoo la shamba lililowika mjini.
Ilikuwaje akamu outsmart 'mtoto wa mjini' na kisha jina lake kupitishwa mkutano mkuu? Ilikuwaje akapewa uwaziri ilhali alijulikana kwa kuwa 'kichaa' kama wengi wanavyodai?
Haya na mengineyo yanalipa nguvu shauri la bwana yule kuwa smart.
Credits to mdukuzi