B Bolotoba JF-Expert Member Joined Apr 24, 2024 Posts 3,424 Reaction score 7,706 Feb 6, 2025 #21 zitto junior said: Hata Lumumba hakua smart, huwezi eleza azma yako kabla ya kupewa kiti. Hakua politician kabisa ndio maana aliondolewq kirahisi sana Click to expand... Kinachofanya Leo Patrice tunamusoma primary mpka Chuo nini ?
zitto junior said: Hata Lumumba hakua smart, huwezi eleza azma yako kabla ya kupewa kiti. Hakua politician kabisa ndio maana aliondolewq kirahisi sana Click to expand... Kinachofanya Leo Patrice tunamusoma primary mpka Chuo nini ?
zitto junior JF-Expert Member Joined Oct 7, 2013 Posts 20,537 Reaction score 31,729 Feb 6, 2025 #22 Bolotoba said: Kinachofanya Leo Patrice tunamusoma primary mpka Chuo nini ? Click to expand... Hata Idd Amin tunamsoma kwa historia, wewe unapewa madaraka unaanza vitisho. Kwani angesubiri apate kiti kama Mugabe ndio awanyooshe wazungu angepungukiwa nini?
Bolotoba said: Kinachofanya Leo Patrice tunamusoma primary mpka Chuo nini ? Click to expand... Hata Idd Amin tunamsoma kwa historia, wewe unapewa madaraka unaanza vitisho. Kwani angesubiri apate kiti kama Mugabe ndio awanyooshe wazungu angepungukiwa nini?