Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

kuwapiga
Amewatesa wewe na nani mkuu,mimi kaa,hajanitesa.Mshahara wangu nilikuwa napata na biashara zangu nilikuwa nafanya.Nadhani aliwatesa wapigaji na kama na wewe ulikuwa mpigaji pole.

Maadui wa nchi yetu,ndio walio-tuaminisha kwamba anatutesa,lakini actually sio kweli.They wanted to steal our resources,alipowawekea kauzibe,wakamuona mbaya.Walifanya hivyo kwa Lumumba,Nkrumah,Gadafi nk.na hawatasita kufanya hivyo kwa kiongozi yeyote mzalendo wa kweli.Ukiona mabeberu wanampenda kiongozi wenu,ujue anashirikiana nao kuwapiga,huo ndio ukweli mchungu.
Ulikuwa unapata ongezeko la huo mshahara?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na majonzi ya kuondokewa na Mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.

Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadaye iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.

Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.

Hii misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.

Naamini si CORONA Wala Mabeberu

Alale salama.
Mh. Lissu , Mbowe na wengi ndani ya CHADEMA hawawezi kukuelewa wao wanasema ni
  1. maombi yao kwa Mungu wao
  2. corona
 
Ulikuwa unapata ongezeko la huo mshahara?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Hata wakati wa Kikwete mimi nilikuwa napata sana sana Sh 10,000 nyongeza,sasa niki include inflation realistically hapakuwa na nyongeza,infact considering inflation mshahara wangu ulikuwa unapungua.Uzuri wa Hayati Magufuli ni huu,yes alikuwa haongezi mshahara,lakini alichokuwa anafanya nilikuwa nakiona.

Mwisho,nijisemee mimi kama mimi,I love my country dearly,so niko tayari ku-sacrifice for the benefit of the country and it's people.Simply put it,I am not egocentric.
 
Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.

273667947_233371502343628_2556068869653061213_n.jpg
 
... halafu hakupenda sana kusafiri nje ya nchi hususan long safaris; kwanza uchovu kwenye midege; pili maswali ya maudhi ambayo angeulizwa yangemuumiza sana! Mliokuwa mnahoji kwanini Magufuli alikuwa hasafiri jibu ndio hilo hayo mengine uzushi!
Na ndiyo maana pia alikuwa haongei kiingereza
 
ficha upumbavu wako..

ina maana hata vyombo vya habari hamsikilizi.??

unadhani kwanin vijana wengi hawafi kwa corona bali watu wazima na wazee.???

corona inapenda sana watu wenye matatizo ya moyo, sukari, presha e.t.c

refer hata kwa viongozi waliokufa RWAKATARE, MAHIGA, KIJAZI, MKAPA ,MAGUFULI,..

hawa wote angalia umri wao ulizia historia zao za maradhi..
Mahiga?kijana mwaminifu wa saint peter's!!
 
Pamoja na majonzi ya kuondokewa na Mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.

Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadaye iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.

Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.

Hii misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.

Naamini si CORONA Wala Mabeberu

Alale salama.
Ukiwa na tatizo la figo, moyo, diabetic ukipata CORONA inakuwa umekufa kwa complications from CORONA. Kama alipokufa alikuwa na positive na covid-19, haina mjadala kifo kimetokana na covid 😷
 
kuwapiga
Amewatesa wewe na nani mkuu,mimi kaa,hajanitesa.Mshahara wangu nilikuwa napata na biashara zangu nilikuwa nafanya.Nadhani aliwatesa wapigaji na kama na wewe ulikuwa mpigaji pole.

Maadui wa nchi yetu,ndio walio-tuaminisha kwamba anatutesa,lakini actually sio kweli.They wanted to steal our resources,alipowawekea kauzibe,wakamuona mbaya.Walifanya hivyo kwa Lumumba,Nkrumah,Gadafi nk.na hawatasita kufanya hivyo kwa kiongozi yeyote mzalendo wa kweli.Ukiona mabeberu wanampenda kiongozi wenu,ujue anashirikiana nao kuwapiga,huo ndio ukweli mchungu.

Magufuli the Great,nenda muungwana,but your legacy will always stay in my heart.
Basi nenda Chato ukalie
 
ficha upumbavu wako..

ina maana hata vyombo vya habari hamsikilizi.??

unadhani kwanin vijana wengi hawafi kwa corona bali watu wazima na wazee.???

corona inapenda sana watu wenye matatizo ya moyo, sukari, presha e.t.c

refer hata kwa viongozi waliokufa RWAKATARE, MAHIGA, KIJAZI, MKAPA ,MAGUFULI,..

hawa wote angalia umri wao ulizia historia zao za maradhi..
Umemsahau Maalim Sefu
 
Je, yawezekana pia hayo matatizo yake ya moyo ndo yaliyomfanya asiwe anasafiri sana hususan nchi za nje?

Manake wakati mwingine ujinga unaweza ukamfanya mtu amhukumu kimakosa mtu mwingine.

Sisi tulikuwa tukitania ni kwa sababu alikuwa haongei vizuri Kiingereza na ndo maana alikuwa hasafiri sana kwenda nchi za nje.

Nimelifikiria sana hili suala na naona lina make sense.

Dah! I wish I knew he had some serious heart problems.

Angetuliza wenge sasa. Umesahau alivyokuwa anamkejeli Lowassa kwa kupiga push-ups kuonyesha kwamba alikuwa fit?

Tatizo Mwendakuzimu aliishi kwa uwongo sana yule.
 
Pamoja na majonzi ya kuondokewa na Mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.

Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadaye iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.

Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.

Hii misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.

Naamini si CORONA Wala Mabeberu

Alale salama.
wakati akiwa mwanafunzi wa masters, sisi tuliokuwa waalimu wa chuo kikuu wakati huo tulimchangia kwa makato ya mishahara ili akatibiwe uingereza. Profesa Mrama (mama wa nguvu) ndiye aliyehamasisha harambee ile.
 
Ukiwa na tatizo la figo, moyo, diabetic ukipata CORONA inakuwa umekufa kwa complications from CORONA. Kama alipokufa alikuwa na positive na covid-19, haina mjadala kifo kimetokana na covid 😷
Labda mfano mzuri ni kuwemo kwenye gari halafu ikatokea ajali, baadhi wakapona wengine wakafariki. Kila aliefariki tunasema amekufa kwa ajali ya gari (japo wengine hawakufa kwa ajali pengine walikuwa na maradhi ya moyo 🙂
 
Back
Top Bottom