StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Ulikuwa unapata ongezeko la huo mshahara?kuwapiga
Amewatesa wewe na nani mkuu,mimi kaa,hajanitesa.Mshahara wangu nilikuwa napata na biashara zangu nilikuwa nafanya.Nadhani aliwatesa wapigaji na kama na wewe ulikuwa mpigaji pole.
Maadui wa nchi yetu,ndio walio-tuaminisha kwamba anatutesa,lakini actually sio kweli.They wanted to steal our resources,alipowawekea kauzibe,wakamuona mbaya.Walifanya hivyo kwa Lumumba,Nkrumah,Gadafi nk.na hawatasita kufanya hivyo kwa kiongozi yeyote mzalendo wa kweli.Ukiona mabeberu wanampenda kiongozi wenu,ujue anashirikiana nao kuwapiga,huo ndio ukweli mchungu.
Mh. Lissu , Mbowe na wengi ndani ya CHADEMA hawawezi kukuelewa wao wanasema niPamoja na majonzi ya kuondokewa na Mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.
Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadaye iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.
Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.
Hii misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.
Naamini si CORONA Wala Mabeberu
Alale salama.
Hata wakati wa Kikwete mimi nilikuwa napata sana sana Sh 10,000 nyongeza,sasa niki include inflation realistically hapakuwa na nyongeza,infact considering inflation mshahara wangu ulikuwa unapungua.Uzuri wa Hayati Magufuli ni huu,yes alikuwa haongezi mshahara,lakini alichokuwa anafanya nilikuwa nakiona.
Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.
Na ndiyo maana pia alikuwa haongei kiingereza... halafu hakupenda sana kusafiri nje ya nchi hususan long safaris; kwanza uchovu kwenye midege; pili maswali ya maudhi ambayo angeulizwa yangemuumiza sana! Mliokuwa mnahoji kwanini Magufuli alikuwa hasafiri jibu ndio hilo hayo mengine uzushi!
Nani kasema? Watu wanakula na kusaza bin ku-enjoy. Wewe kalia hayo hayo tu.Na sasa hivi Ikulu hapakaliki
Mahiga?kijana mwaminifu wa saint peter's!!ficha upumbavu wako..
ina maana hata vyombo vya habari hamsikilizi.??
unadhani kwanin vijana wengi hawafi kwa corona bali watu wazima na wazee.???
corona inapenda sana watu wenye matatizo ya moyo, sukari, presha e.t.c
refer hata kwa viongozi waliokufa RWAKATARE, MAHIGA, KIJAZI, MKAPA ,MAGUFULI,..
hawa wote angalia umri wao ulizia historia zao za maradhi..
Ukiwa na tatizo la figo, moyo, diabetic ukipata CORONA inakuwa umekufa kwa complications from CORONA. Kama alipokufa alikuwa na positive na covid-19, haina mjadala kifo kimetokana na covid 😷Pamoja na majonzi ya kuondokewa na Mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.
Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadaye iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.
Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.
Hii misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.
Naamini si CORONA Wala Mabeberu
Alale salama.
Basi nenda Chato ukaliekuwapiga
Amewatesa wewe na nani mkuu,mimi kaa,hajanitesa.Mshahara wangu nilikuwa napata na biashara zangu nilikuwa nafanya.Nadhani aliwatesa wapigaji na kama na wewe ulikuwa mpigaji pole.
Maadui wa nchi yetu,ndio walio-tuaminisha kwamba anatutesa,lakini actually sio kweli.They wanted to steal our resources,alipowawekea kauzibe,wakamuona mbaya.Walifanya hivyo kwa Lumumba,Nkrumah,Gadafi nk.na hawatasita kufanya hivyo kwa kiongozi yeyote mzalendo wa kweli.Ukiona mabeberu wanampenda kiongozi wenu,ujue anashirikiana nao kuwapiga,huo ndio ukweli mchungu.
Magufuli the Great,nenda muungwana,but your legacy will always stay in my heart.
This is a stupid comment!Basi nenda Chato ukalie
Like u.. you look the sameThis is a stupid comment!
This is the stupid comment you made👉Basi nenda Chato ukalie.Mimi stupid comment yangu ni ipi?Magufuli kauliwa mwezi wa tatu mwaka wa jana,nitamliliaje leo?Like u.. you look the same
Umemsahau Maalim Sefuficha upumbavu wako..
ina maana hata vyombo vya habari hamsikilizi.??
unadhani kwanin vijana wengi hawafi kwa corona bali watu wazima na wazee.???
corona inapenda sana watu wenye matatizo ya moyo, sukari, presha e.t.c
refer hata kwa viongozi waliokufa RWAKATARE, MAHIGA, KIJAZI, MKAPA ,MAGUFULI,..
hawa wote angalia umri wao ulizia historia zao za maradhi..
Je, yawezekana pia hayo matatizo yake ya moyo ndo yaliyomfanya asiwe anasafiri sana hususan nchi za nje?
Manake wakati mwingine ujinga unaweza ukamfanya mtu amhukumu kimakosa mtu mwingine.
Sisi tulikuwa tukitania ni kwa sababu alikuwa haongei vizuri Kiingereza na ndo maana alikuwa hasafiri sana kwenda nchi za nje.
Nimelifikiria sana hili suala na naona lina make sense.
Dah! I wish I knew he had some serious heart problems.
wakati akiwa mwanafunzi wa masters, sisi tuliokuwa waalimu wa chuo kikuu wakati huo tulimchangia kwa makato ya mishahara ili akatibiwe uingereza. Profesa Mrama (mama wa nguvu) ndiye aliyehamasisha harambee ile.Pamoja na majonzi ya kuondokewa na Mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.
Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadaye iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.
Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.
Hii misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.
Naamini si CORONA Wala Mabeberu
Alale salama.
Labda mfano mzuri ni kuwemo kwenye gari halafu ikatokea ajali, baadhi wakapona wengine wakafariki. Kila aliefariki tunasema amekufa kwa ajali ya gari (japo wengine hawakufa kwa ajali pengine walikuwa na maradhi ya moyo 🙂Ukiwa na tatizo la figo, moyo, diabetic ukipata CORONA inakuwa umekufa kwa complications from CORONA. Kama alipokufa alikuwa na positive na covid-19, haina mjadala kifo kimetokana na covid 😷