Hayati Magufuli alipo-deal na Kenya alionekana anaharibu mahusiano, mmeona sasa?

Hayati Magufuli alipo-deal na Kenya alionekana anaharibu mahusiano, mmeona sasa?

Mzaha mzaha, mbuzi Kampanda mamaye.

Ile kauli "mtanikumbuka ilikuwa ni kauli ya kinabii na sio ya kisiasa. Nathaniel sasa kila mtanzania ameanza kuelewa kwanini JPM Ali deal na wakenya effectively.

Hawa Wakenya sio majirani, ni maadui zetu, hawafai kuchukuliwa kama majirani.

Suala la Ngorongoro kila mtu anajua. Serikali ina lengo la kuhifadhi maeneo potential kwa utalii ila Kenya inapinga.

Hivi nini maana ya nchi huru, yenye internal sovereignty?

Hivi JPM angekuwepo wangediliki kufanya hvi?

Nchi sasa hivi imekuwa kama familia isiyo na BABA, mambo yanaendeshwa ovyo ovyo. Mikopo isiyo na kichwa wala miguu, mirador mikubwa ya kimkakati imesimama.

Usalama wamelala, where are we heading as a nation.

Sasa MAMA anaacha kwenda kuudhuria mkutano wa EAC eti kama reaction ya wanachofanya Kenya. Inasikitisha.

Hivi Jeshi kazi yake nini? Hawa Wakenya na mme wake mmarekani hawatuwezi kwa chochote.

Sisi tupo na ndugu zetu wa damu Warusi. Si mnaona baba Putin anavyowapelekea moto NATO?

Hawa wakenya ni wakupiga kama Uganda kipindi kile.
Hii mada yako imepitia turbulence maana ni mvurugikaniko mkubwa sana.
 
Wewe ni mpuuzi. Tupigane na Kenya kisa maneno yao ya uongo unadhani vita inakaribishwa kirahisi hivyo. Kama vipi kaombe silaha wewe ndio ukapigane. Nchi zina matatizo kibao na bado unataka kuongeza gharama na uharibifu
Huyu mpuuzi, hajui vita ni janga kubwa, inaangamiza uchumi,
Vita ya Uganda mpaka leo makovu hayajapona, tuanzisha nyingine na Kenya?
 
Mzaha mzaha, mbuzi Kampanda mamaye.

Ile kauli "mtanikumbuka ilikuwa ni kauli ya kinabii na sio ya kisiasa. Nathaniel sasa kila mtanzania ameanza kuelewa kwanini JPM Ali deal na wakenya effectively.

Hawa Wakenya sio majirani, ni maadui zetu, hawafai kuchukuliwa kama majirani.

Suala la Ngorongoro kila mtu anajua. Serikali ina lengo la kuhifadhi maeneo potential kwa utalii ila Kenya inapinga.

Hivi nini maana ya nchi huru, yenye internal sovereignty?

Hivi JPM angekuwepo wangediliki kufanya hvi?

Nchi sasa hivi imekuwa kama familia isiyo na BABA, mambo yanaendeshwa ovyo ovyo. Mikopo isiyo na kichwa wala miguu, mirador mikubwa ya kimkakati imesimama.

Usalama wamelala, where are we heading as a nation.

Sasa MAMA anaacha kwenda kuudhuria mkutano wa EAC eti kama reaction ya wanachofanya Kenya. Inasikitisha.

Hivi Jeshi kazi yake nini? Hawa Wakenya na mme wake mmarekani hawatuwezi kwa chochote.

Sisi tupo na ndugu zetu wa damu Warusi. Si mnaona baba Putin anavyowapelekea moto NATO?

Hawa wakenya ni wakupiga kama Uganda kipindi kile.
The previous was very powerful
 
Nyerere alifanya zaidi ya Magufuli sasa maana ye alitangaza wazi mpk kufunga mpaka wa Tanzania na Kenya sijui utasema naye hakuwa anafanya kisomi? Usichokijua Kenya anafanya sana Ujasusi wa kiuchumi na nchi ya Kenya inaitaji marais wenzake aina ya Nyerere na Magufuli watu wenye maamuzi magumu sio kubembelezana.
Hili suala la Loliondo sio la leo wala jana. Tatizo serikali imeshindwa kulifanyia kazi huko nyuma sasa wanataka kulimaliza kwa mara moja. That's wrong and not possible. Serikali ilitakiwa ije na mpango wa miaka hata 5 hadi 10. Wanatakiwa kuwa engage, educate and compensate vizuri hawa watu.

Hata huko Handeni wanakokwenda usije shangaa siku zijazo wanaanza migogoro na mapigano na wenyeji. Huwezi kuwahamisha watu zaidi ya 50 K in a short period of time uwapeleke kwenye mazingira mapya halafu utegemee watakwenda huko wasettle peacefully. Hata kwenye vijiji vya ujamaa alivyovianzisha Nyerere kuna watu waliamua kurudi kwenye makazi yao ya awali baada ya miaka 20.
 
Huyu mpuuzi, hajui vita ni janga kubwa, inaangamiza uchumi,
Vita ya Uganda mpaka leo makovu hayajapona, tuanzisha nyingine na Kenya?
Tusameheane mkuu huwezi jua wakati anareply alikuwa anatokea wapi
 
Anachofanya Samia ndicho alichofanya Magufuli. Tofauti Samia anafanya kweli kwenye approach ya kisomi zaidi

Kama kukopa wote wanakopa na kama kusimamia maslahi ya Tanzania wote wanasimamia maslahi ya Tanzania

Tunadeal vipi na kenya kisomi naomba ufafanuzi tafadhali!
 
Pinga hoja kwa hoja sio maneno ya kwenye kanga kama shoga.

Au mwenzangu we punga? Kama ndugu zenu America?
seee..... condoms huwa zinasaidia kuzuia watoto ambao hawakupangwa kuzaliwa.... hawa ndo huwa wanaiharibu dunia maana huwa ni mtoko tu wa sperms unaosababisha wazaliwe...
 
Back
Top Bottom