Mzaha mzaha, mbuzi Kampanda mamaye.
Ile kauli "mtanikumbuka ilikuwa ni kauli ya kinabii na sio ya kisiasa. Nathaniel sasa kila mtanzania ameanza kuelewa kwanini JPM Ali deal na wakenya effectively.
Hawa Wakenya sio majirani, ni maadui zetu, hawafai kuchukuliwa kama majirani.
Suala la Ngorongoro kila mtu anajua. Serikali ina lengo la kuhifadhi maeneo potential kwa utalii ila Kenya inapinga.
Hivi nini maana ya nchi huru, yenye internal sovereignty?
Hivi JPM angekuwepo wangediliki kufanya hvi?
Nchi sasa hivi imekuwa kama familia isiyo na BABA, mambo yanaendeshwa ovyo ovyo. Mikopo isiyo na kichwa wala miguu, mirador mikubwa ya kimkakati imesimama.
Usalama wamelala, where are we heading as a nation.
Sasa MAMA anaacha kwenda kuudhuria mkutano wa EAC eti kama reaction ya wanachofanya Kenya. Inasikitisha.
Hivi Jeshi kazi yake nini? Hawa Wakenya na mme wake mmarekani hawatuwezi kwa chochote.
Sisi tupo na ndugu zetu wa damu Warusi. Si mnaona baba Putin anavyowapelekea moto NATO?
Hawa wakenya ni wakupiga kama Uganda kipindi kile.