Hayati Magufuli alisababisha wananchi kugombania vitambulisho vya kodi ya machinga

Hayati Magufuli alisababisha wananchi kugombania vitambulisho vya kodi ya machinga

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam Shalom,

Enzi ya Magufuli, Ukiwa na kitambulisho cha matching guy cha 20,000 Kwa mwaka, TRA Wala Jiji walikuwa hawakusogelei ukiwaonesha.

Ndipo nikajua kuwa, Watanzania wanapenda kulipa Kodi inayoendana na uwezo wao.

Ndugu yule, alifanikiwa kukusanya pesa nyingi sana Kwa mfumo Rahisi.

Waliopo sasa Badala ya kuboresha, wameufuta Utaratibu huo, jambo Hilo limesababisha mapato kukosekana, kutwa kucha wanakimbizana na maskini.

Ni vizuri kuiga mazuri na kuacha mabaya ya mtu, lakini kumchukia mtu jumla hata Kwa mazuri yake, Si sahihi.

TUJISAHIHISHE.
 
Saiz vinyozi kwenye mabanda ya mbao, wakisikia Jiji wanakuja, wanafunga na kukimbia,

Maana ukikamatwa, unatakiwa ulipe 180,000 hapo hapo, kama huna, unahukimiwa JELA miezi SITA hapo hapo!!

Mfumo Ule ingeboreshwa, wafanyabiashara wenye mtaji chini ya Milioni mbili walipe 50,000 Kwa mwaka, na wakilipa hiyo, TRA au Jiji wasisogee kusumbua, hakuna mtu angekimbia au kulalamika.

Tuwe wabunifu!!
 
Hyo pesa ya vitambulisho vyenu naskia iko huko kwa Samhong[emoji16]
 
Hyo pesa ya vitambulisho vyenu naskia iko huko kwa Samhong[emoji16]
Samhong ndo nini?

Tunachohoji kwann hawakusanyi 20,000?

Wamerudisha mfumo wa zamani wa Leseni ambao maskini wanaukwepa sababu ni ghali kwao!!
 
Salaam Shalom,

Enzi ya Magufuli, Ukiwa na kitambulisho cha matching guy cha 20,000 Kwa mwaka, TRA Wala Jiji walikuwa hawakusogelei ukiwaonesha.

Ndipo nikajua kuwa, Watanzania wanapenda kulipa Kodi inayoendana na uwezo wao.

Ndugu yule, alifanikiwa kukusanya pesa nyingi sana Kwa mfumo Rahisi.

Waliopo sasa Badala ya kuboresha, wameufuta Utaratibu huo, jambo Hilo limesababisha mapato kukosekana, kutwa kucha wanakimbizana na maskini.

Ni vizuri kuiga mazuri na kuacha mabaya ya mtu, lakini kumchukia mtu jumla hata Kwa mazuri yake, Si sahihi.

TUJISAHIHISHE.
Mleta post ana hoja ya msingi naomba asipuuzwe
 
Back
Top Bottom