Hayati Magufuli alisema ujenzi wa Daraja la Selander umekorofishwa

Hayati Magufuli alisema ujenzi wa Daraja la Selander umekorofishwa

Tatizo ni sisi watanzania wenyewe kwa kuendekeza njaa ,, tamaa na ubinafsi.

..Ni lazima tuwe na sheria, na miongozo, ya kudhibiti wenye njaa, tamaa, na ubinafsi.

..Sasa sheria na miongozo hiyo itapatikana ktk KATIBA MPYA.

..Katiba mpya iliyo bora ndio itakuwa rejea na dira ya Taifa letu.
 
Magufuli alisema ujenzi umefanyika Coco Beach ambao unafanya iwe vigumu kulimalizia lile daraja. Anasema Mkuu wa Mkoa (Makonda) alikuwa wapi wakati haya makosa yanatendeka? Au Mkuu wa Wilaya, kwanini hakuzuia? (Sijui Mkuu wa Wilaya alikuwa nani)

Ndio pale anasema anataka watu waliofungwa waachwe huru,akina Rugemalira,ambao hata hivyo hawakuachiwa.

Kwa Katiba ya Uingereza Liz Devi angesema anataka mahabusu waachiwe huru,wangeachiwa huru baada ya was 24. Kwa sababu msingi wa Katiba ya Uingereza ni kwamba the King can do no wrong.

Lakini hapa watu hawataki kufuata amri za dikteta uchwala.

Unaona, hiyo video nimeiweka hapo,sijui kama itaonekana, lakini Magufuli amesikitika sana hapo mpaka inakufanya ufikirie kwamba labda mwili unahitaji kufukuliwa kujua kitu gani kilimuua.



Uingereza haina katiba, unaongelea katiba gani?
 
unawezaje kuitenganisha dola na serikali ya ccm
Ccm ni chombo Cha kuhalalisha utaratibu wa uchaguzi na kushika hatamu,ndomana yule alitaka mgombea mwenza yule lakini dola ikaamua inavyotaka yenyewe
 
Ccm ni chombo Cha kuhalalisha utaratibu wa uchaguzi na kushika hatamu,ndomana yule alitaka mgombea mwenza yule lakini dola ikaamua inavyotaka yenyewe

Mkuu nazani umechanganya kati ya dola na mfumo ( deep state)
 
Back
Top Bottom